National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,175
- 56,202
sinza ndio home 😅😅😅Vimbeni tu🤣😃, mi Nuzulati kasema nice tu🤣😃😃
uwanja wa home huo.. akiingia mtu hatoki
sinza ndio home 😅😅😅Vimbeni tu🤣😃, mi Nuzulati kasema nice tu🤣😃😃
Wame kufanyaje Tena😃Sitakiiiii kuitwaa kwenye uzi wowote ule mlichoenda kunichongea kwa jf hamtoshekiii😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡💯
Sitakiiiiii tag ya mtu yoyote yule😡😡😡😡Wame kufanyaje Tena😃
Nuzulati makosa yangu nini 😁,Sitakiiiiii tag ya mtu yoyote yule😡😡😡😡
Mi siwezi hata kukutukana, na we ni Best 🤗Unamkenulia nani meno kama mahindi ya Tanga🤨
Imekuwaje umenusurika Ban kule selfika??? Au zinawahusu wadada tu??
😬😬😬Mi siwezi hata kukutukana, na we ni Best 🤗
Wajinga wametuchongea halafu huku wananichekea😬😬🐒Imekuwaje umenusurika Ban kule selfika??? Au zinawahusu wadada tu??
Hahaa poleni, naona uzi umepoa kweli nashangaa kila ninaposcroll naona memba Banned.Wajinga wametuchongea halafu huku wananichekea![]()
Pole sana jiraniWajinga wametuchongea halafu huku wananichekea😬😬🐒
Asante jirani😀Pole sana jirani