Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,355
- 96,646
Meno Kama mahindi ya tanga😁😁
Meno Kama mahindi ya tanga😁😁
Nime pigwa ban ya selfika tu😁🤣🤣, Japo Sija fanya kitu😁🤣🤣Imekuwaje umenusurika Ban kule selfika??? Au zinawahusu wadada tu??
Leo hii una thubutu kuni tukana🤔,Wajinga wametuchongea halafu huku wananichekea😬😬🐒
🥊🥊🥊🥊Wame kufanyaje Tena😃
Oya na mpango wa kuoa 2030, vipi hamna manzi was kitanga au mwarabu🤗Imekuwaje umenusurika Ban kule selfika??? Au zinawahusu wadada tu??
vayolensi 😅😅😅😅Mmehamia uku
Hasiraa za paka🤣🤣😁😁🥊🥊🥊🥊
Nimepigwa ban bila sababuvayolensi 😅😅😅😅
Dah kweli Ume badilika🤔🤒Kichwa kama jipu😬😬
Kidogo jukwaa lipoe.. mlikuwa mnalipelekesha sanaaa aisee 😅😅😅Nimepigwa ban bila sababu
aje rafiki yangu To yeye anipe maisha.. kwanza 😅😅😅.. ila huu uzi mnatakiwa kusogeza pua saa 00:00.. inakuwaje mapema tu mpo hapaHasiraa za paka🤣🤣😁😁
Ngoja tuhamis ukuKidogo jukwaa lipoe.. mlikuwa mnalipelekesha sanaaa aisee 😅😅😅
mtakula 🥊🥊🥊 za kutosha..Ngoja tuhamis uku
Usiku mwema nimechoka sana leomtakula 🥊🥊🥊 za kutosha..
😬😬😬Leo hii una thubutu kuni tukana🤔,
mmekuwa na heka heka hadi jasho 😅Usiku mwema nimechoka sana leo
Hongera sanaWazee wa kukesha ... muwe na mkesha mwema 😅😅
View attachment 2739172
To yeye yey
Intelligent businessman acha nisogee maeneo yangu kula mbuzi choma kwanza.. Mwana JF ambae atakuwa karibu asogee hapa..
wamewahi sana🤣🤣🤣 Mbona unawashutumu?