Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,404
- 96,727
Haya nidanganye uli bet nini 😂🤣🤣Ohoo ,acha kabisa,pesa ni mbaya sana
Haya nidanganye uli bet nini 😂🤣🤣Ohoo ,acha kabisa,pesa ni mbaya sana
Miayo ya njaa au usingizi😂🤣🤣Napiga miyayo 😂😂
UsingiziMiayo ya njaa au usingizi😂🤣🤣
Angalau😍😍, mi nikichoka nafumba macho. Vitajua vyenyewe🤣😂Usingizi
Zile dawa uli tumia??Hili tatizo ni la muda mrefu sana tangu nikiwa grade three, kuna wakati yanauma na kuacha kwa muda mchache.
Ndio Mr.Zile dawa uli tumia??
Basi toa huo Mwanga mweuoe kwenye simu, weka eye Care, Kisha upunguzee kabisaNdio Mr.
Nimepunguza kabisaBasi toa huo Mwanga mweuoe kwenye simu, weka eye Care, Kisha upunguzee kabisa
Seti na eye Care, au haina??Nimepunguza kabisa
NimewekaSeti na eye Care, au haina??
pikipiki itaburst😂01:43 eti Wana taka laki 3 kumsafirisha, SI Bora nimbebe mwenyewe 🤣😂 Mzee wa kupambania, National Anthem, Dahan, Ms eyes, Aaliyyah na mshamba_hachekwi View attachment 2695736
Tumia dawa ya macho Ina itwa xsone, ni kwa ajili ya macho tu.Nimeweka
una mechi na mama j nini??😂 mbona unakeshaMapopo mpo![]()
Ngoja ni screenshot. AsanteTumia dawa ya macho Ina itwa xsone, ni kwa ajili ya macho tu.
👉Itasaidia, Ni 2500 tu