fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,498
- 27,758
😄😄😁 na ww soon tu utaletwa huku naona kbsa nati moja imeanza kulegea inabd tukuwah kukupa vidonge mpemaaaItakuwa ugonjwa wa ukichaa umekuathiri zaidi, hadi umeanza kujiita dokta😂😂😂
😄😄😁 na ww soon tu utaletwa huku naona kbsa nati moja imeanza kulegea inabd tukuwah kukupa vidonge mpemaaaItakuwa ugonjwa wa ukichaa umekuathiri zaidi, hadi umeanza kujiita dokta😂😂😂
Aisee, situation yako ni ngumu😂😂. Kama wamiliki tunashauri uuliwe tu😂😂😄😄😁 na ww soon tu utaletwa huku naona kbsa nati moja imeanza kulegea inabd tukuwah kukupa vidonge mpemaaa
😄😁😄Nikiuliwa ndgu zenu atawatibu nani mwsho wa siku wagonjwa watakuja mpka uko mlipokuepoAisee, situation yako ni ngumu😂😂. Kama wamiliki tunashauri uuliwe tu😂😂
Aisee janga la taifa ndo hili😂😂😄😁😄Nikiuliwa ndgu zenu atawatibu nani mwsho wa siku wagonjwa watakuja mpka uko mlipokuepo
😄😄😄😁Aisee janga la taifa ndo hili😂😂
HahahaMidi tudo😂😂😂
Kaka mnipe mchongo🙏🙏Hahaha
Nasubiri night shift nikamkaange binti wa mama yake
Duty station ni Dar au mkoani?Kaka mnipe mchongo🙏🙏
Popote Kaka. Mi napambania ugali🙏🙏 MsaniiDuty station ni Dar au mkoani?
Huwezi kuwa mtu makiniDah nipo sebule nimeshaangalia movie kama 8 tangu saa mbili usiku
Kivip.kuchek movies auHuwezi kuwa mtu makini
Aaah nimetulia na simu yangu nazurura JF
Ila NATUMA CV hovyo.tu na sioni chochote
Wadau nipeni kazi
Degree inayeyukia kichwani sasa
poleDah namuwaza demu wangu wa utotoni mpaka usingizi umekata na nikilala namuotaniko hapa nasubiri usingizi unichukue
Ukupeleke wapi mkuu?niko hapa nasubiri usingizi unichukue