Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,425
- 96,792
Bro, vipi Kama Mimi ni share holder😂🤣bado wewe endelea kuhangaika😀
Bro, vipi Kama Mimi ni share holder😂🤣bado wewe endelea kuhangaika😀
ah kmmk fundi umefikaje madagascar😂Saa kumi usiku hapa madagascar
Nimeona pia Madagascar ni wodi ya wehu duniani😂🤣🤣😁😄😁😄 daah nmeona juzi apa waziri gani sjui amewapelekea kombe la uefa kwenye ukumbi wa bar gani sijui
😄😄😁Mbona kitambo sana nko uku madagascar mzee uku nakimbiza sku hzi kwenye kampuni moja kutoka yuropu mzee kwa mwezi naingiza mil 8.5 kwa hela ya kibongo 😁😁ah kmmk fundi umefikaje madagascar😂
😁😁😁 sasa ww uko wapi mkuu maan huku madagascar ndo pepo ya duniani mkuuNimeona pia Madagascar ni wodi ya wehu duniani😂🤣🤣
nimekaa pale.... wewe ni fundi nauli umepataje kwanza😂😄😄😁Mbona kitambo sana nko uku madagascar mzee uku nakimbiza sku hzi kwenye kampuni moja kutoka yuropu mzee kwa mwezi naingiza mil 8.5 kwa hela ya kibongo 😁😁
😁😄😁 sisi watu wa mipango afu tuko kwenye sistimu wewee na apo bahari yenu hyo ikiuzwa ujue fundi bishoo nna mgao wangu kama 10B hivi sio powa weweenimekaa pale.... wewe ni fundi nauli umepataje kwanza😂
Niko mbinguni 😂😂😁😁😁 sasa ww uko wapi mkuu maan huku madagascar ndo pepo ya duniani mkuu
Vijana wanna chekesha San😂😂nimekaa pale.... wewe ni fundi nauli umepataje kwanza😂
MBINGU GANI WAKATI MM NKO MBINGUNI NA SKUONI 😄😁Niko mbinguni 😂😂
Kumbe sikosei🤔,Nikisema Madagascar ni wodi ya vichaa😂😂 fundi bishoo 😂😁😄😁 sisi watu wa mipango afu tuko kwenye sistimu wewee na apo bahari yenu hyo ikiuzwa ujue fundi bishoo nna mgao wangu kama 10B hivi sio powa wewee
We SI umesema uko Madagascar 🤔, sisi tulioko mbinguni tunajua hiyo ni wodi ya vichaa😂😂😂MBINGU GANI WAKATI MM NKO MBINGUNI NA SKUONI 😄😁
OIWe SI umesema uko Madagascar 🤔, sisi tulioko mbinguni tunajua hiyo ni wodi ya vichaa😂😂😂
😁😁😁😄 basi na mm ndo dokta wao nawatibu hawa vichaa mkuuWe SI umesema uko Madagascar 🤔, sisi tulioko mbinguni tunajua hiyo ni wodi ya vichaa😂😂😂
Midi tudo😂😂😂OI
Bado jua halijatua. Au longitudo inasoma shortitudo?🤣
Afu sisi ndio wenye hospital au sio😂😂😁😁😁😄 basi na mm ndo dokta wao nawatibu hawa vichaa mkuu
Nyinyi ni ndugu wa wagonjWa bhna hahahahAfu sisi ndio wenye hospital au sio😂😂
We SI tumekupa kazi ya kuwalinda matahira wenzio😂😂Nyinyi ni ndugu wa wagonjWa bhna hahahah
😄😄 mm siwalindi mm nawatibia ndgu zeNu mzeeWe SI tumekupa kazi ya kuwalinda matahira wenzio😂😂
Itakuwa ugonjwa wa ukichaa umekuathiri zaidi, hadi umeanza kujiita dokta😂😂😂😄😄 mm siwalindi mm nawatibia ndgu zeNu mzee