Maisha ndivyo yalivyo mkuu😂😂😂Hii dunia we acha tu.
Unaweza kua na mke Tena pisi la nguvu lakini ukaingia chumbani na nyege zako na kuamka nazo na kuondoka nazo kwenda kwenye mihangaiko yako, huku majirani wakikuonea wivu kwamba unafaidi
Mambo imechemkaOyaà Pombe sio Sigara
Pombe sio Sigara
Oyaà Pombe sio Sigara
Pombe sio Sigara
0204 Hrs
Ayaa clap 👏 👏 👏 😂😂😂😂😂Oyaà Pombe sio Sigara
Pombe sio Sigara
Oyaà Pombe sio Sigara
Pombe sio Sigara
0204 Hrs
Umesahau kuainisha mkuuNatafuta nyumba ndogo.
Awe anaishi Kimara, mbezi, Kibamba Hadi Kiluvya.
Awe muajiriwa serikalini, umri 45 and above.
Ajue relationship itakua nyumba ndogo/sponsor tu.
Muda wakukimbizan na sungusunguAyaa clap![]()
![]()
![]()
![]()
Yaani tumebaki wala pombe wa usiku unatafuta mke usiku wote huu bossUmesahau kuainisha mkuu
Picha yako yenye kivuli Cha blue 1
Mawasiliano namba ya simu barua pepe
Location ulipo
Vipi shemu wetu from the small house awe mwembamba au bonge ?
Mwamshe akupe mkuu hiyo ni haki yako kikatibaHii dunia we acha tu.
Unaweza kua na mke Tena pisi la nguvu lakini ukaingia chumbani na nyege zako na kuamka nazo na kuondoka nazo kwenda kwenye mihangaiko yako, huku majirani wakikuonea wivu kwamba unafaidi
Apo roho mkonon panga began😂😂😂😂😂Muda wakukimbizan na sungusungu
Hio ni nyimbo ya kupafanya nyumbani pasionekane mbali 😆 ukiimba hio ushapiga vyupa kadhaa nyumbani unapaona ni km kuvuka barabara tu hapo umefika hata pawe na umbali vipi unajua utafika tu 😃Muda wakukimbizan na sungusungu
Hahahahaa Shika viatu usisahau kukaza mkanda vizuri kojoa kabisaApo roho mkonon panga began![]()
Ukute alishapewa na anataka marudiano😂😂😂😂Mwamshe akupe mkuu hiyo ni haki yako kikatiba
Hahahaa kama kuna chochoro kwenu hapo lazima ubebe jiwe mkuu siraha jiwe unarusha kwanza gizani mengine mfukoniHio ni nyimbo ya kupafanya nyumbani pasionekane mbaliukiimba hio ushapiga vyupa kadhaa nyumbani unapaona ni km kuvuka barabara tu hapo umefika hata pawe na umbali vipi unajua utafika tu
![]()
Hii code ya mtu hii we utakua umebarisha Jina la ID 😆Halali mtu amkeni amkeni mzurule dunia imefika mwisho
😆😆😆 Ulinzi muhimu roho mkononi panga begani asee roba za mbao hazijaisha bado 😃Hahahaa kama kuna chochoro kwenu hapo lazima ubebe jiwe mkuu siraha jiwe unarusha kwanza gizani mengine mfukoni