JamiiForums Usiku wa manane
Kidonda ni tobo na uvimbe maana lazima akutoboe na meno na kwenye kujisiginisha anakukamata na kucha lazima utoboke na kuna ka hewa ka kukupooza anakupulizia km nusu kaputi ili usisikize maumivu uendelee kulala
😂😂😂😂Duh kwaio panya ana analgesics?
 
Kidonda ni tobo na uvimbe maana lazima akutoboe na meno na kwenye kujisiginisha anakukamata na kucha lazima utoboke na kuna ka hewa ka kukupooza anakupulizia km nusu kaputi ili usisikize maumivu uendelee kulala
Hawa panya wa sua wale wanaofunzwa kwenda vitan😂😂
 
Sasa kwan utalala jikon? Had ukutane nae usiku..?
Panya anatembea akikosea akaingia kwako akakosa pa kutokea na hakuna chakula chumbani kwako kuna mawili aidha atakula damu yako ukiwa umelala au ataharibu vitu vyako ukiwa umelala, km huna vitu chumbani Basi wewe jiandae kua chakula Cha panya maana lazima akunyonye damu ili aushi bila hivyo atakufa bila kula atakufa kwa njaa
 
Panya anatembea akikosea akaingia kwako akakosa pa kutokea na hakuna chakula chumbani kwako kuna mawili aidha atakula damu yako ukiwa umelala au ataharibu vitu vyako ukiwa umelala, km huna vitu chumbani Basi wewe jiandae kua chakula Cha panya maana lazima akunyonye damu ili aushi bila hivyo atakufa bila kula atakufa kwa njaa
Acha kututisha mkuu... Usiku huu.. Ila uzuri mi niko lindo😂😂😂 akitokea ivo ataninyonya saa ngapi? Silalii
 
Back
Top Bottom