Mkuu bana haya mambo... Ngoja takupa somo kidogo uwelewe naona kuna kitu ujaelewa hapo mkuu
Anakunywa Tena ndio anaitaka zaidi ya chakula chochote hio ni kwa mujibu wa research,Anakunywaje? Panya si ana ramba ramba tuu.. 😂😂😂Emagn panya angekua anakunywa damu kama mbu ingekuaje😂😂
Sasa tuulize ulikua unaenda wapi sa hivi mpaka ukaagukia hapa mda huu🤓🤓🤓🤝🤝🤝02:48
Research ipi? 😂Anakunywa Tena ndio anaitaka zaidi ya chakula chochote hio ni kwa mujibu wa research,
02:48
Research za lini hizo mkuuAnakunywa Tena ndio anaitaka zaidi ya chakula chochote hio ni kwa mujibu wa research,
02:48
Ukiondoa kunguni na mbu mdudu gani mwingine anaeweza kukung'ata na KUKUNYONYA damu ukiwa umelala ?Mkuu bana haya mambo... Ngoja takupa somo kidogo uwelewe naona kuna kitu ujaelewa hapo mkuu
Mkuu panya usimchukulie poa km anaweza kukisambalatisha kikombe Cha plastic kwa kukitafuna Sasa anashindwaje kukutoboa wewe ngozi ?Research za lini hizo mkuu
Yangu binafsi nimefanya nimeona nimegunduaResearch ipi? 😂
🙌🙌🤸🤸DuuhUkiondoa kunguni na mbu mdudu gani mwingine anaeweza kukung'ata na KUKUNYONYA damu ukiwa umelala ?
Mmmh aiseeeeeMkuu panya usimchukulie poa km anaweza kukisambalatisha kikombe Cha plastic kwa kukitafuna Sasa anashindwaje kukutoboa wewe ngozi ?
Zamani walikua wanatafuna miguuni siku hizi wanatoboa ngozi usoni shingoni mgongoni wanataka damu,Mmmh aiseeeee
Hawa lab rats.. Maybe, ila its oky maana human blood is sweet😂😂Yangu binafsi nimefanya nimeona nimegundua
Yeap they do but in a small amount..Zamani walikua wanatafuna miguuni siku hizi wanatoboa ngozi usoni shingoni mgongoni wanataka damu,
Mende😂😂😂🙌🙌🤸🤸Duuh
Kwahiyo umekuja kututisha mkuu🤓🤓🤓🤓🤓..Zamani walikua wanatafuna miguuni siku hizi wanatoboa ngozi usoni shingoni mgongoni wanataka damu,
Panya wanaogopa binadamu lakin, its hard kushambulia wakiwa wengi.. Rodents02:56
Usije ukamuona mdudu panya ukamchukulia poa tena omba Mungu awe mmoja wakiwa kikosi ukilala wakikufyonza damu wanakuuua
Hapana sana wanafyonza sana sio small amountYeap they do but in a small amount..