Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,137
Ahahahah ndo mana ata avatar yako inaonesha how you like bloodu.....🤓🤓🙌🙌🙌Hawa lab rats.. Maybe, ila its oky maana human blood is sweet😂😂
Ahahahah ndo mana ata avatar yako inaonesha how you like bloodu.....🤓🤓🙌🙌🙌Hawa lab rats.. Maybe, ila its oky maana human blood is sweet😂😂
We elewa hivyo tu panya sio poa meno 2 juu na 2 chini Ila zinatoboa vibaya sana na Wana kucha za miguu zinachomaKwahiyo umekuja kututisha mkuu🤓🤓🤓🤓🤓..
Uliwaza nini kuja kutupa habari za panya na tunaishi nao "" wanatoboa shingoni "" mkuu mbona unatishia amani au unawapa promo hao viumbe🤓🤓🤓
Kwaio wanaeza kuacha kidonda deep?Hapana sana wanafyonza sana sio small amount
Mende hapana... 🤓🤓🤓Mende😂😂😂
Kinachotokea wanakuvizia ukiwa kwenye deep sleep, hivi unajua panya wana akili sana au haujui ?Panya wanaogopa binadamu lakin, its hard kushambulia wakiwa wengi.. Rodents
Jaman 😲Mende hapana... 🤓🤓🤓
Ndo hivo labda labda buibui...Jaman 😲
Ivi kwann ulale na panya kwanza?Kinachotokea wanakuvizia ukiwa kwenye deep sleep, hivi unajua panya wana akili sana au haujui ?
03:00
Hapo kwenye akili hapo daah wale jamaa wana akili aisee.. yaan hata kama ukiwatega basi kuwa makini mnooKinachotokea wanakuvizia ukiwa kwenye deep sleep, hivi unajua panya wana akili sana au haujui ?
03:00
Kidonda ni tobo na uvimbe maana lazima akutoboe na meno na kwenye kujisiginisha anakukamata na kucha lazima utoboke na kuna ka hewa ka kukupooza anakupulizia km nusu kaputi ili usisikize maumivu uendelee kulalaKwaio wanaeza kuacha kidonda deep?
Nature selection... Wee upendi ila unakuta mazingira yanawakutanishaIvi kwann ulale na panya kwanza?
Panya halali na wewe panya anaingia popote anaenda popote penye chakula au penye harufu ya chakula,Ivi kwann ulale na panya kwanza?
Kwahyo mkuu huoni habari kuhusu panya 🤓🤓🤓Tupac All Eyes on me
Panya anapenda Sukari kuliko kitu chochote na damu ya binadamu ni zaidi ya Sukari kwa panyaNature selection... Wee upendi ila unakuta mazingira yanawakutanisha
Duuuh mbna wana akili hivoKidonda ni tobo na uvimbe maana lazima akutoboe na meno na kwenye kujisiginisha anakukamata na kucha lazima utoboke na kuna ka hewa ka kukupooza anakupulizia km nusu kaputi ili usisikize maumivu uendelee kulala
Panya yule wa mabomu au panya wangu?Kwahyo mkuu huoni habari kuhusu panya 🤓🤓🤓
Research mkuu nimekwambia researchSijui panya wamemfanya nini 🤓🤓🤓🙌🙌🙌
Mkuu ushawahi kutega panya kwa sukariPanya anapenda Sukari kuliko kitu chochote na damu ya binadamu ni zaidi ya Sukari kwa panya
03:05