Nini umesema mfuta ya chura ?mfuta ya chura yanatesa askwambie mtu
Mafuta mkuuNini umesema mfuta ya chura ?
Ndio yapi ?Mafuta mkuu
Panya ana uwezo wa kustahilimili njaa masaa 15 mpaka 18 Ila akitoka huko aliko akakuta chakula atakula kwa fujo na Pupa ndio maana wakiwekewa sumu hufa haraka sababu ya pupa ya njaa, panya hupenda chakula Cha zamani na hula kingi Ila kukiwa na chakula kipya hula kidogo kwa kujihami kua huu ni mtego wa sumu Ila kisipo mdhuru hula chote, panya hunusa harufu ya kitu kitamu km Sukari au ChocolateKwani ye lazima akule..
Yaani yee ana tumbo la njaa kila mda🤓🤓
Where'd you go ?Long time....
In a missionWhere'd you go ?