JamiiForums Usiku wa manane
Panya anatembea akikosea akaingia kwako akakosa pa kutokea na hakuna chakula chumbani kwako kuna mawili aidha atakula damu yako ukiwa umelala au ataharibu vitu vyako ukiwa umelala, km huna vitu chumbani Basi wewe jiandae kua chakula Cha panya maana lazima akunyonye damu ili aushi bila hivyo atakufa bila kula atakufa
Kwani ye lazima akule..
Yaani yee ana tumbo la njaa kila mda🤓🤓
 
Wanakimbizana alafu fasta unawaona kwenye kenchi walikuwa wanakata sana

Wanakutim muda umezima taa
Yaani wana amua tuu kukualibia stim ahahaha panya sheenziii sana wale jamaaa.. mda mwingine zile virugu daah
 
Yaani wana amua tuu kukualibia stim ahahaha panya sheenziii sana wale jamaaa.. mda mwingine zile virugu daah
Wakiona unataka kupata usingizi wanaanza style yao ya kukimbizana huku wanalia swi swi swi

Daah Kum...ke panya asee
 
Wakiona unataka kupata usingizi wanaanza style yao ya kukimbizana huku wanalia swi swi swi

Daah Kum...ke panya asee
Ahahahahah daah maisha haya tunapitia mengi aisee ndo ecosystems hiyo.. na wenyewe pale wanainjoo sana an
 
Vipi kuhusu chura? 😂 😂 stow away Poor Brain
Chura ni amphibians pia anakula wadudu na matunda.. aaah usilolojua kuhusu chura ni kuwa ana miguu mirefu ya nyuma kuliko ya mbele..
Chula pia anaruka ruka.
Pia chura huwa anatumika kama signal kwa waimba singeli ndo mana inasikia wakisema "" nioneshe chura.. chura analuka luka chura""
 
Chura ni amphibians pia anakula wadudu na matunda.. aaah usilolojua kuhusu chura ni kuwa ana miguu mirefu ya nyuma kuliko ya mbele..
Chula pia anaruka ruka.
Pia chura huwa anatumika kama signal kwa waimba singeli ndo mana inasikia wakisema "" nioneshe chura.. chura analuka luka chura""
Mafuta ya chura acha kabisa
 
Yaani kafanya usafi, kaoga na kutandika
"" Sitoweza kuja "" 🤓🤓🤓
Hili neno kwa sisi masela tunasema ni siku mbaya

Ishanikutaga sana hii najikuta nakunywa kinywaji mwenyewe na kuanza kuskiliza Hip Hop ili nipate ujasiri asee

mfuta ya chura yanatesa askwambie mtu
 
Back
Top Bottom