Welcom.. karbu huku hakuna kulalahodi hapa
Kwa kweli 🤣🤣🤣😁😁😁😁Iko jirani na mademu haina traco hapa bora nikajilalie
Ndo ukubwa huo.. 🤓🤓🤓🤓Duuu kumbe, ukikuwa usingizi unakata hivi
Hapana mjusi hana meno02:34
Hivi mjusi hua anang'ata binadamu ?
Mie tena? 😂😂 Mi nalinda tuu mkuu, huko sihusiki
Hapana panya ni horbinarius arcanida molisus.. yaan hanywi damu yenye high haemoglobin02:35
Nauliza swali panya hua anakula damu ya binadamu ?
"mjusi gani?Hapana mjusi hana meno
Kenge sio mjusi?Hapana mjusi hana meno
Mjusi kama mjusi... Mbona unauliza kimitego hivi 🤓🤓🤓🤓"mjusi gani?
apana, ila huwa anaonekan kama anaweza kung,ata02:34
Hivi mjusi hua anang'ata binadamu ?
Weeee kua makini panya anakunywa damu ya binadamu km mbuHapana panya ni horbinarius arcanida molisus.. yaan hanywi damu yenye high haemoglobin
Ndio anatoa mlio..02:37
Hivi mjusi anatoaga mlio wa sauti km chura au ndege ?
Hapana02:38
Hivi nyoka km hujamchokoza anaweza kukung'ata ?
Mijusi ya huku kwetu inayo meno mbona😂😂Mjusi kama mjusi... Mbona unauliza kimitego hivi 🤓🤓🤓🤓
Wee unamjua mjusi gani...?