Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,364
Vikubwa bas naomba mashine ya kufuliaWewe omba vitu vikubwa, Biriani utakula itameng'enywa iishe. Watoto wa uswazi kwa kula
Vikubwa bas naomba mashine ya kufuliaWewe omba vitu vikubwa, Biriani utakula itameng'enywa iishe. Watoto wa uswazi kwa kula
Hapahapa 😆😆😆😆Mmeweka wapii😁😁😁
Wapi, kwenye profile au hapa barazani??Hapahapa 😆😆😆😆
Acha kelele kuna wachawkUsiku wa manane wa porini ,yooo kunzima nhe!
UnaotaJamani hii si kawaida kuona kimvuli cha mtu hapo chini na mara katoweka heee where is No malice to nobody?
Hapa barazani tutarudia woteWapi, kwenye profile au hapa barazani??
yu jiran yako wa masaki alipokuja buza
Na sijui kasinzia jirani, ghafla bin vuu kapotea.U
yu jiran yako wa masaki alipokuja buza
Naomba Mungu leo nisipatwe na zile ndoto zako zileUnaota



bora ile ya chaji ya simuSi unajua wat wa masaki bhna mna mbwembwe kumbe konyoiiNa sijui kasinzia jirani, ghafla bin vuu kapotea.
Umeeanza siyo
Pambana ila hii picha toa chap
Ushaanza kuogopaPambana ila hii picha toa chap


dawa yako nishaijua
wewe na nyoka, panya, mende 


Mushii tutolee hii picha pleas
Ngoja ni laleUmeeanza siyo

wewe humalizagi mjadala mpaka bando ikate