Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Itoe mkuu nisamehe nilipo kukosea itoe mbona unatak tuendeelee kukesha hapa jfUshaanza kuogopadawa yako nishaijua
wewe na nyoka, panya, mende
![]()
Itoe mkuu nisamehe nilipo kukosea itoe mbona unatak tuendeelee kukesha hapa jfUshaanza kuogopadawa yako nishaijua
wewe na nyoka, panya, mende
![]()
Uku hatuna uswahili,ukitaka kula hiyo subiri mualiko,sio upange mualiko wewe Kama vile ndio unaalika hahahKwahiyo zwenge ndaba na Bantu Lady mmeshindwa ninulia biliani kwa nino
😂😂😂😂 kumbe unanijuaNgoja ni lalewewe humalizagi mjadala mpaka bando ikate
Mnalinga sana nyie binadamuUku hatuna uswahili,ukitaka kula hiyo subiri mualiko,sio upange mualiko wewe Kama vile ndio unaalika hahah
Sio mimi mkuu, naona usingizi umekuja ghafla baada ya picha ya mangi Mushi 🤣🤣🤣😀😀😀Jamani inabidi nilale tu 😄😄😄😄😄 kumbe nilikuwa naona Avatar ya AGITATOR nafikiri ni Mzee wa No malice to nobody 😆😆😆😆😆😆
Kwani mnatumia Avatar zinazofanana eeh ama?Sio mimi mkuu, naona usingizi umekuja ghafla baada ya picha ya mangi Mushi 🤣🤣🤣😀😀😀
Hapana kabisa.Kwani mnatumia Avatar zinazofanana eeh ama?
Hapahapa 😆😆😆😆
Kila mtu aweke picha yake hapa.😂😂😂😂😂🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️🤸♀️
Mmmh naogopa dhambi mimi. Hapa mmefungua si ndiyo. Kila kitu ruksa? Halafu leo nilibless kule mahala petu ujueMalizia basii