JamiiForums Usiku wa manane
Emushi endelea hiyo taarifa imewekwa wapi? Julwaa la Siasa, Hoja na habari Mchanganyiko ama?
Tokomeza Ugay Tz
 
Kaka izi mada mbona unatuharibia starehee
Nilikua upande wa pili huko mpaka usingizi umekata, nina watoto wawili mmoja wa kiume ana miaka 8 mwingine beiby gal ana 3yrs, kwa hali ilivyo natamani hata wasitoke ndani ila ndio haiwezekani! Natamani pakuche kesho asubuhi niwakute wamesha kua watu wazima bila kukutana na majini watu leo nitalala nikiwa na uzuni sana bora nisinge ona hiyo taarifa
 
Nilikua upande wa pili huko mpaka usingizi umekata, nina watoto wawili mmoja wa kiume ana miaka 8 mwingine beiby gal ana 3yrs, kwa hali ilivyo natamani hata wasitoke ndani ila ndio haiwezekani! Natamani pakuche kesho asubuhi niwakute wamesha kua watu wazima bila kukutana na majini watu leo nitalala nikiwa na uzuni sana bora nisinge ona hiyo taarifa
Pole sana mkanidhi mMumgu
 
Back
Top Bottom