JamiiForums Usiku wa manane
Sijaichek bado ila natarajia kuicheki soon
Inatisha! Sana sana sana sio kidogo! Alafu kuna dada anafanya presentation, kwa picha za matukio ya upelelezi! Aisee! Haifai hata kidogo! Kwanini magu alinyamaza hata kipindi kile mwanae akawa anapambana ila hakutia neno ukanda huo!!? Akamwachia mwenyewe baada ya muda wakulungwa wakamgeuzia kibao yeye mwenyewe kua hips zina kua tu!!? Baadae ika vuja ka clips yupo kwny moja ya hotel na mzungu wana move huku wameshikana mikono!! Ikidaiwa ni muwekezaji, wanakaribishana! Ila tuna balaa zito sana
 
Hatumtaki sisi watoto wa kishua, tunataka ile mijibwa hata Mr akisafiri nabaki naye bila shida.
Hao wake akauze pale Victoria akawadanganye kwenye foleni. Masaki tunanunua kwenye vituo maalumu.
Na wanauzaga mpaka vifisi pale,nyara za serikali hahaha.inatakiwa mbwa simu ikizima charge unampa akaiweke kwenye charge.sio hao wake koko
 
Inatisha! Sana sana sana sio kidogo! Alafu kuna dada anafanya presentation, kwa picha za matukio ya upelelezi! Aisee! Haifai hata kidogo! Kwanini magu alinyamaza hata kipindi kile mwanae akawa anapambana ila hakutia neno ukanda huo!!? Akamwachia mwenyewe baada ya muda wakulungwa wakamgeuzia kibao yeye mwenyewe kua hips zina kua tu!!? Baadae ika vuja ka clips yupo kwny moja ya hotel na mzungu wana move huku wameshikana mikono!! Ikidaiwa ni muwekezaji, wanakaribishana! Ila tuna balaa zito sana
Ngoja niipitie nione yaliyomo haya mambo sio kabisa
 
Back
Top Bottom