JamiiForums Usiku wa manane
Sijaahidi vocha mkuu Leo umekunywa nini kwani? Nakwambia Intelligent businessman anajiita yeye ni mwizi wa kimataifa n he has no Malice to nobody nikamuuliza ilikuaje ikawa hivyo akajibu kua yeye alienda kuiba Ila Cha kushangaza alipoenda kuiba yeye ndio walimuibia na wakampa pole juu, no Malice to nobody ikaanzia hapo yaan unaenda kupiga tukio unageuzwa kibao unapigwa tukio wewe
Don't worry stow away I had to take a break, but I will be back soon
 
Back
Top Bottom