JamiiForums Usiku wa manane
Nimeota wachawi wanapita juu uku wanasema wewe kijana tutakumakiza tu ata ujifanye mjanja uku wananikimbia af natak kuamka siwez mgongoni nshish nimekaliwa dah
Nmeota km dk 15 hivi tupo kwenye bonge la bus sasa wakati linatoka kituoni linaingia barabarani si likapoteza uelekeo linaingia lafu road kuangalia kumbe break zimekufa mara tupo kwenye mtelemko unaambiwa gari ikapaa nilivyoona hivyo nikaona isiwe tabu kulikua mti pembeni nikajitosa kwenye mti afu sikutaka kuendelea nikashtuka
 
04:13

Umepigwa hazana ya pili

Leo hazana zimepigwa mara 2 tofauti na siku zingine kweli Jumatatu ni MOON DAY na Moon upo juu ya Msikiti
 
Nimenuniwa hapa... Wiki ya pili hamna unyumba.... Nikimbilie wapiii
20230315_163349.jpg
 
Muda muafaka wa morning glory 💫💥💦💦
Na mama glory mke wa mtu ni sumu ila ntamtafuna tu

Kwaherini wana jf muanze wiki salama Kanali G umedoji you ain't a real G be a top G bro 😁
 
05:53

Imepigwa hazana nyingine mida kidogo yaan Leo zimepigwa hazana 3 kweli leo siku ya MWEZI
 
Back
Top Bottom