zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,604
usijidanganye unapedwa ,hapedwi mtu duniani,wachawi bado wanaloga na wanamtambua Mungu ni nani.lord eyesNamtaka mmoja simuhitaji mwingine
Msiniwaze
Aaaah
Aaah nalia nalia naliaga
Akininunia napagawaga
Nalia nalia naliaga
Akinisisua nachachawaga
Hivi huku ndo wanaitaga kupendaga
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila haka kadada
Nampenda nampenda msichana mmoja
-@Dahan Dahan

