zwenge ndaba
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 2,037
- 3,604
To sleep is for the rich,nakata maji ,mpaka asubuhi,siruhusu tu igeuke kua chaiEee leo usikale sasa mpaka kieleweke hapa
To sleep is for the rich,nakata maji ,mpaka asubuhi,siruhusu tu igeuke kua chaiEee leo usikale sasa mpaka kieleweke hapa
Duh embu nilushie na mimi hapo maji maatatu ya kilimanjaro fahari ya mtanzaniaTo sleep is for the rich,nakata maji ,mpaka asubuhi,siruhusu tu igeuke kua chai
Hiyo kitu natural ,ladha yake Kama kumbusu msichana,sijui kwa Nini hawaiweki kwenye chupa Kama bia.wakorea wenzetu pombe yao asili inaitwa soju ,mpaka kwenye chupa Kama bia imooSijanywa kitu iyo ulanzi nilitumwa tu
Maji we mgonjwa?Duh embu nilushie na mimi hapo maji maatatu ya kilimanjaro fahari ya mtanzania
Yupo hoiKachoka sijui wachawi wamemchukua leo akawalinde
Ndio naupungufu wa maji mwiliniMaji we mgonjwa?
Mh uho ukanzi unalegeza miguuHiyo kitu natural ,ladha yake Kama kumbusu msichana,sijui kwa Nini hawaiweki kwenye chupa Kama bia.wakorea wenzetu pombe yao asili inaitwa soju ,mpaka kwenye chupa Kama bia imoo
Duh mfanyie mpango boss na yeye apate kazi huyoYupo hoi
Kazi tena ye mwenyewe kazi utamsikia no Malice to nobodyDuh mfanyie mpango boss na yeye apate kazi huyo
Itakua mtu na mtu,ukipiga hiyo,alafu ukienda kukaza ni burudani kabisa,hakuna haja ya mkongoMh uho ukanzi unalegeza miguu
Duh mm sijawai tumia nasikia kipind niko iringa ndio nilikuwa nasikia watu wakisemaItakua mtu na mtu,ukipiga hiyo,alafu ukienda kukaza ni burudani kabisa,hakuna haja ya mkongo
😂😂😂😂 duh embu nisikilize mimi basKazi tena ye mwenyewe kazi utamsikia no Malice to nobody
Panga begani
Roho mkononi
National Anthem nasema UONGO hapo?
Sijaahidi vocha mkuu Leo umekunywa nini kwani? Nakwambia Intelligent businessman anajiita yeye ni mwizi wa kimataifa n he has no Malice to nobody nikamuuliza ilikuaje ikawa hivyo akajibu kua yeye alienda kuiba Ila Cha kushangaza alipoenda kuiba yeye ndio walimuibia na wakampa pole juu, no Malice to nobody ikaanzia hapo yaan unaenda kupiga tukio unageuzwa kibao unapigwa tukio wewestow away umechoka mapema sana embu ludi af bado tunasubilia vocha zetu ulizo tuhaid
Haya sema nakusikia😂😂😂😂 duh embu nisikilize mimi bas
Duh mzee kumbe bas tumuacheSijaahidi vocha mkuu Leo umekunywa nini kwani? Nakwambia Intelligent businessman anajiita yeye ni mwizi wa kimataifa n he has no Malice to nobody nikamuuliza ilikuaje ikawa hivyo akajibu kua yeye alienda kuiba Ila Cha kushangaza alipoenda kuiba yeye ndio walimuibia na wakampa pole juu, no Malice to nobody ikaanzia hapo yaan unaenda kupiga tukio unageuzwa kibao unapigwa tukio wewe