JamiiForums Usiku wa manane
Wakuu bora hata ningelala na kuamka huku. Nmepepesa pepesa macho nmedondokea uzi kituko. Uzi wa wale wanaumee wanataka haki yaooo.
Bantu Lady nae nimemwona kule nahisi saiv anaumwa baada ya kuona namna wanaume wanataka wafanyiwee.
Bora nibaki njia kuuu. Jf usiku wa manane
 
Wamelala nao mbeleee afadhali yani umenichafuu sana.
Yan mtu unaweza sikia tuu ila saiv hiv vitu naona vnakuja kasi sanaa. Hiv watoto wetu watakuwa na hali gan kama kina baba ndo tunakuwa hiviiii?
Mungu atuepushe na haya
Bora wameufuta, pia ingewekwa sasa angalizo hizo nyuzi zinatosha. Hasa huyu mwehu wa kutetea haki zao. Kama vile imeshahalalishwa si sawa.
 
Namtaka mmoja simuhitaji mwingine

Msiniwaze

Aaaah

Aaah nalia nalia naliaga

Akininunia napagawaga

Nalia nalia naliaga

Akinisisua nachachawaga

Hivi huku ndo wanaitaga kupendaga

Siwezi kula bila huyu kijana

Hivi haya haya ndo mapenzi

Siwezi kulala bila haka kadada

Nampenda nampenda msichana mmoja

-@Dahan Dahan
 
Back
Top Bottom