JamiiForums Usiku wa manane
Wanaume mnijibu hili, my man ni mzuro sasa huwa najisahau namwambia hivyo. Anakasirika kuwa hapendi hii kauli!!!

Je ni vibaya kumwambia mwanaume mzuri, mzuri? Kiukweli nakosa pia amani 😥😥😥😥
Najisahau tu nakuwa narudia. Au niseme tu handsome?
Wanaume wazuri wanajishtukia mkuu haitakuwa vizuri kuendelea kumuita hivyo.Pia na yeye mwenyewe ameshakuonyesha namna anavyochukizwa na hilo jina.

Majina kama hayo yanatufaa sisi ambao tupo na sura pasano
 
Wanaume mnijibu hili, my man ni mzuro sasa huwa najisahau namwambia hivyo. Anakasirika kuwa hapendi hii kauli!!!

Je ni vibaya kumwambia mwanaume mzuri, mzuri? Kiukweli nakosa pia amani 😥😥😥😥
Najisahau tu nakuwa narudia. Au niseme tu handsome?
Mwanaume, Mvulana, Kijana, alafu tupo wahuni .. Mwanaume anasifiwa Uanaume wake.. Nipo leo nipo na Legue na Babu ana miaka 70 na mie tuna liana timing 🤣🤣🤣 akienda hata chooni ameisha
 
Wanaume wazuri wanajishtukia mkuu haitakuwa vizuri kuendelea kumuita hivyo.Pia na yeye mwenyewe ameshakuonyesha namna anavyochukizwa na hilo jina.

Majina kama hayo yanatufaa sisi ambao tupo na sura pasano
Asante sana, sasa nimeelewa vizuri. Naacha kumuita mzuri. Kumbe wanaume wenye sura za ujambazi ndiyo wanapenda kuitwa wazuri? 😂😂😂😂😂😂
 
Au ile dem amepita majamaa mmemkubali wote mnatuma chambo atakeye mpata anatoa pesa
Hapa nilipo tuna liana timing na zee moja, limeisha mlewesha mtoto lina mwaga hela.. ila mie katoto nimekalewa vibaya nako kanitazama.. mzee ni rafiki yangu sana ila nae kaisha elewa nataka mpindua 🤣🤣🤣🤣 huwa ina raha sana movement kama hizi
 
Muonee huruma babu wa watu, usimuibie manzi ake dah. Nimeona huruma itakuwa anamgharalia, pesa zote za mafao mmmh!!!
Hii inaitwa survive for fitest 🤣🤣 katamba hapa kwa kumwaga pesa.. ila napiga tu mahesabu yangu.. one mistake one goal huwa raha sana moment kama hizi.. ni kama simba anaetafuta ufalme 😅😅😅
 
Hapa nilipo tuna liana timing na zee moja, asa limeisha mlewesha mtoto lina mwaga hela.. ila mie katoto nimekalewa vibaya anako kanitazama.. mzee ni rafiki yangu sana ila nae kaisha elewa nataka mpinduand 🤣🤣🤣🤣 huwa ina raha sana movement kama hizi
Af ssa ukishampindua mzee atakuja kukutambia end of the day mtakutana mkijadili raha sana kila mtu anasema upande wake
 
Back
Top Bottom