Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,416
- 96,771
Successo goato intelliUsiniadhibu kwa kizungu
Successo goato intelliUsiniadhibu kwa kizungu
Meambie hela za kustaafu zina wai kwisha 😂😂😂 asiendekeze chini embu chukua jimbo chapMzee mjanja sana sema kakutana na muhuni, kaanza hudumu enzi za mwinyi, mkapa na jmp kitengo alie staafu latika zama zao 😅😅 ila hapa lazima akae
Umenitukana tenaSuccesso goato intelli
ParabenssUmenitukana tena
😅😅😅 huyu anajifanya ni nyani alie koswa mishale mingi.. leo lazima tule mzigo woteMeambie hela za kustaafu zina wai kwisha 😂😂😂 asiendekeze chini embu chukua jimbo chap
Sawa kisa nilikua natoroka shule naenda kuiba maboga ngoja niombe msaada kwa rafiki yangu Mzee wa kupambaniParabenss
Ngoja aje akuite kibogaaa au embe. I mean no malice to nobodyNASEMAJE NASEMAJE NASEMAJE
Hivi huku ndo wanaitaga kupendaga
Siwezi kula bila huyu kijana
Hivi haya haya ndo mapenzi
Siwezi kulala bila haka kadada
For you Dahan
Ngoja nikusogeze pis moja kali sana😅😅😅 huyu anajifanya ni nyani alie koswa mishale mingi.. leo lazima tule mzigo wote
Lakini nina mpenda huyu Dahan ni mrebo sana tungu nimuone mapigo ya moyo yanakimbia sanaNgoja aje akuite kibogaaa au embe. I mean no malice to nobody
Nifanyie hivyo mzee, iwe classic haswaaaaaa chochote ikitaka itapewaaa 😅😅Ngoja nikusogeze pis moja kali sana
Mzee ilo jambo dogoNifanyie hivyo mzee, iwe classic haswaaaaaa chochote ikitaka itapewaaa 😅😅
Unaenda kudoe chakula kwa jirani 😂😂😂😂 kisa wamepika pilau acha wale kwa uhuru bhnaBaadae viongozi
Ila nikituma mimi zinafika unaweza ukajaribu kureply tuone tatizo lipo wapi kabla hatujawaita vijana wa melo😎😎😎pm yangu mbovu, nitashindwa kukufundisha 😅😅😅😅
Mkuu usalama upo?Salama kabisa za kupotea? Mtoto hajambo?
Nikuchekeshe sasa, siku unasema mtoto anaumwa. Miye akili yangu wewe ni KE.
Siku nikaja soma uzi wako mmoja, kumbe ni ME.
Pia una Avatar sawa na ya Mkuu Chizi maarifa 😅😅😅😅😅
Upo ndugu yangu. Nilivyoona ma nikajua ni mama kidee.Mkuu usalama upo?
Binafsi nilikutambua wewe ni mama wa nguvu sikiwa na shaka mwilini mwangu.Upo ndugu yangu. Nilivyoona ma nikajua ni mama kidee.
Ila now nishaelewa vizuri. Hizi ID zingine bila mtu kukwambia mwenyewe. Huwezi jua ni ke ama me.
Asante sana makidee Tuko pamoja...Binafsi nilikijia wewe ni mama wa nguvu sikiwa na shaka mwilini mwangu.
Nyuzi na comment zako ni very matured.
Sitaacha kukupenda mchana kweupe