Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Achapombe cha pombe ukuje huku...
Hii ID lazima ina ya zamani yake...
Hii ID lazima ina ya zamani yake...
Ukimwambia mzuri anajihisi umemuona kama mwanamke.. Lazma akasirike😂😂mwambie mbaya tuu ili afurahi😂😂😂Jua
Ni mkaka mzuri sana. Yaani ni Handsome haswaa.. sema najisahau namwambia mzuri na anachukia kabisa hii kauli.
Hujanijibu je neno mzuri kwa mwanaume ni tusi?
Umeongea vizuri sana my wangu sasa nakutumia muamala mwingineUkimwambia mzuri anajihisi umemuona kama mwanamke.. Lazma akasirike😂😂mwambie mbaya tuu ili afurahi😂😂😂
Me, you and them😂😂😂I love I, me & myself
Sawa embe😂Umeongea vizuri sana my wangu sasa nakutumia muamala mwingine
Ilo jina si nimekukataza embu niite vizuri ili niongeze muamala ukuSawa embe😂
Boga😂Ilo jina si nimekukataza embu niite vizuri ili niongeze muamala uku
Elfu 70 mh, Dahan, Bantu Lady, National Anthem, Poor Brain na Mzee wa kupambania, hii bei ni sawa au naibiwaa😎🙉. I mean no malice to nobodySasa pis nishaipanga dau lake 70k vipi nimpe location mkali
Kumaanisha nini🤣😂😎, kuwa Hana chake tenaa??Sawa embe😂
Sawa umeamua kunidhalilisha mbele ya uma kwahiyo na mimi nakuacha hapa najua baadae utanisumbua 😂😂😂 sijibu sms wala kupokea cm bueBoga😂
Nipe mie huyo nampa 140k 😅😅😅😅Elfu 70 mh, Dahan, Bantu Lady, National Anthem, Poor Brain na Mzee wa kupambania, hii bei ni sawa au naibiwaa😎🙉. I mean no malice to nobody
Mali safi sana njia nyeupeeee oh usije chelewa mzeeElfu 70 mh, Dahan, Bantu Lady, National Anthem, Poor Brain na Mzee wa kupambania, hii bei ni sawa au naibiwaa😎🙉. I mean no malice to nobody
Hi mi nataka niwe singular tu, so it's I, me & myselfMe, you and them😂😂😂
Umbea utakumaliza 😂😂Kumaanisha nini🤣😂😎, kuwa Hana chake tenaa??
We Dahan ukuje umjibu mtu wakooSawa umeamua kunidhalilisha mbele ya uma kwahiyo na mimi nakuacha hapa najua baadae utanisumbua 😂😂😂 sijibu sms wala kupokea cm bue
Wewe sasa ndio mwamba mtu badNipe mie huyo nampa 140k 😅😅😅😅
Iko wapiiii, ulinzi umekaajeeMali safi sana njia nyeupeeee oh usije chelewa mzee
Nisha kasilikaWe Dahan ukuje umjibu mtu wakoo
Mnanijazaa nikapasukee ehh, I mean no malice to nobodyWewe sasa ndio mwamba mtu bad
jitolea mimi na Mzee wa kupambania kukulinda mpaka uchoke ila lazima tuchukue ka video for feature useIko wapiiii, ulinzi umekaajee