JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

Hizi moment nadra sana kuzipata 😅😅😅 ndio maana ma simba dume yanafukuzaga madume matoto yanapokuwa
Ex wangu alinicheat mshikaji nikajua tukajuana masela tukaaza kutambiana mzee end of the day mshikaji kaachia ngazi nikapanda nikawa nikitoka kwenye gemu namtumia picha jmaa alinichukia mpaka kaniblock 😂😂😂
 
Ex wangu alinicheat mshikaji nikajua tukajuana masela tukaaza kutambiana mzee end of the day mshikaji kaachia ngazi nikapanda nikawa nikitoka kwenye gemu namtumia picha jmaa alinichukia mpaka kaniblock 😂😂😂
😅😅😅 mtemi nyikani ndio atamiliki ngome
 
Mzee najua ataenda nae kulala ila na mie nitapiga kimoko hata cha choo cha kike 🤣🤣🤣🤣 hapa namuaga ajue nime sepa kumbe naenda kaa angle ya kuangalia choo cha kike
Nikikutana na halii hii uwa napiga bao mbili za kukomoa sipaki mkongo ila nashindilia sana kama nashindilia kifusi
 
Okay sasa nimeelewa vizuri. Nakuona tu umeshajua kutumia pm? Maana ulimwambia Ma Faiza umemtumia pm 😅😅😅😅😅
Teh teh teh unajua Kuna muda mwingine napenda uchokozi au ugomvi wa lazima.Bahati mbaya nikiwa katika hali hii Kila nikichokoza inaleta matokeo hafifu.

Pm nimeweza kuitumia ila kiasi chake naamini unaweza ukawa mwalimu mzuri zaidi
 
Teh teh teh unajua Kuna muda mwingine napenda uchokozi au ugomvi wa lazima.Bahati mbaya nikiwa katika hali hii Kila nikichokoza inaleta matokeo hafifu.

Pm nimeweza kuitumia ila kiasi chake naamini unaweza ukawa mwalimu mzuri zaidi
pm yangu mbovu, nitashindwa kukufundisha 😅😅😅😅
 
Kwaza huyo mzee mshamba sana sipendi mtu anitumie text uku ameandika helufi kubwa kaambiwa una matatizo ya macho ?

Sema utaua mzee kwa presha
Mzee mjanja sana sema kakutana na muhuni, kaanza hudumu enzi za mwinyi, mkapa na jmp kitengo alie staafu latika zama zao 😅😅 ila hapa lazima akae kwa mtoto wa mbwaaa
 
Back
Top Bottom