Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,578
- 66,244
Kabisa ila nyimbo za huyu judy huwanazipenda sanaKila mtu ana radha yake mkuu
Kabisa ila nyimbo za huyu judy huwanazipenda sanaKila mtu ana radha yake mkuu
Mimi nazijua chache sana,anajua lakiniKabisa ila nyimbo za huyu judy huwanazipenda sana
Usingizi kitu cha ahabu unakuja af unakataMimi nazijua chache sana,anajua lakini
Piga piriton moja tuUsingizi kitu cha ahabu unakuja af unakata
Iyo balaa mzeePiga piriton moja tu
Member since 2018😂Msaada tutani wakuu situmii Wala sijawahi kutumia app ya Jf .Muda huu nataka kuzama Pm ya ndugu yangu wa kufa na kuzikana ila sioni pia sijui namna ya kuingia PM
Nenda juu kulia kwenye alama ya bahashaMsaada tutani wakuu situmii Wala sijawahi kutumia app ya Jf .Muda huu nataka kuzama Pm ya ndugu yangu wa kufa na kuzikana ila sioni pia sijui namna ya kuingia PM
Atakufa kifo cha kukuAnataka aingie pm kwa bantu lady![]()
Nimesema wazi wazi bila kificho sijawahi kujihusisha na masuala ya PmMember since 2018😂
Nimesema wazi wazi bila kificho sijawahi kujihusisha na masuala ya Pm
Bantu Lady
Ànaweza akawa amenielewa
Means tangu unejiunga ujawai tumiwa sms pm? Ata na wale watu wanaonba kura kipindi cha mashindano?Nimesema wazi wazi bila kificho sijawahi kujihusisha na masuala ya Pm
Bantu Lady
Ànaweza akawa amenielewa
Teh teh teh huyu ni ndugu yangu wa kufikia.Kama nikihitaji kumtafuta siwezi kutumia pmAnataka aingie pm kwa bantu lady![]()
WebUnatumia web sio? Na sio app
Mara chache sana kuwepo hukuMeans tangu unejiunga ujawai tumiwa sms pm? Ata na wale watu wanaonba kura kipindi cha mashindano?
Angalia juu hapo si unaona kibahasha?