JamiiForums Usiku wa manane
Wewe ulifungiwa karibu mwezi na jimama hatukuona hapa lindoni umeachika huko ndo unaonekana hapa 😀😀😀
😂😂😂😂 ww mzee ni unazeeka vibaya nini? Yaani mm niachike wakat uliachwa baada ya kunitambulisha kwa dem wako af dem wako akakupa kibuti pale sokoni 😂😂
 
Back
Top Bottom