Mjasiri na Mali
JF-Expert Member
- Jun 24, 2017
- 5,365
- 14,182
Nimeuliza swali mkuuUnabisha au
Nimeuliza swali mkuuUnabisha au
Aaaah,acha mambo yako mbona tunaombeana mambo mazito mkuu![]()



tuna ashumu tu atuombei japo ni lazima ukufeNiko na fally,hii albamu ameuwaView attachment 2562102
Mimi nipo najibembeleza na wimbo wangu pendwa mpka nasizia
Mario,mkuuNimeuliza swali mkuu
Niko na fally,hii albamu ameuwaView attachment 2562103
02:05
Mlale salama wapendwa...
Mungu akipenda kesho nayo siku![]()

02:06am
Ugali mtamu sanatuna ashumu tu atuombei japo ni lazima ukufe
Ulale salama Bantu Lady02:05
Mlale salama wapendwa...
Mungu akipenda kesho nayo siku![]()
Mimi naupenda kwakweliKongo mziki siuelew nyimbo chache sana
Ugali mtamu sana


na nyama ya kuchoma tena iwe kuku wakienyeji mwenye mafuta mengi yule anaetagaMimi naupenda kwakweli
na nyama ya kuchoma tena iwe kuku wakienyeji mwenye mafuta mengi yule anaetaga


dodoma kuna sehemu wanauza ugali na kuku wa kienyeji,pale barabara ya 8,kila nikienda lazima nifike,wale kuku wana mapaja makubwa sijui ni mwewe hata sijui.02:05
Mlale salama wapendwa...
Mungu akipenda kesho nayo siku ✌
Kila mtu ana radha yake mkuuDuh mimi mchache sana sana sana nikiwa viwanja ndio nasikiliza najikuta tu nacheza sijui kivile kuna kuwa na vibe hapo ndio nitacheza mzik wakikongo tu
Watamu sana jina la sehemu limenitoka kidogo ni kama unaenda uwanja wa ndegedodoma kuna sehemu wanauza ugali na kuku wa kienyeji,pale barabara ya 8,kila nikienda lazima nifike,wale kuku wana mapaja makubwa sijui ni mwewe hata sijui.
Mwanga bar,wale kuku watamu aiseeWatamu sana jina la sehemu limenitoka kidogo ni kama unaenda uwanja wa ndege