JamiiForums Usiku wa manane
Hivi mtu akiwa amefunga kwaresma kuna limit yoyote kwenye kubanjuana kama waislamu?
Mmmh hili sijajua, kwani wao wana limit? Sisi Wakristo tunafanya kwa kiasi. Kama ulikuwa unakula sahani mzima basi, utakula nusu sahani. Labda na tendo la ndoa, kama ulikuwa unapiga 4, unapunguza 2 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Nilijua ila Mkuu hapo kasema ni ya wote. Mimi nilijua ya wenye dini yao, sababu wanaanza mfungo.
Tuyape kisogo hayo
Nilijua ila Mkuu hapo kasema ni ya wote. Mimi nilijua ya wenye dini yao, sababu wanaanza mfungo.
Tuyape kisogo hayo. "nikinywa kidogo aibu inatoka"kauli hii imesisimua misuli ya mboni ya majicho yangu
 
Mmmh hili sijajua, kwani wao wana limit? Sisi Wakristo tunafanya kwa kiasi. Kama ulikuwa unakula sahani mzima basi, utakula nusu sahani. Labda na tendo la ndoa, kama ulikuwa unapiga 4, unapunguza 2
Waislamu kama hujaoa huruhusiwi kubanjuana siku zote sio ramadhani tu,. Ni zinaa..sasa watu wanafanya siku zote wanaacha kipindi cha mfungo tu coz wameambiwa ni mwezi mtukufu,hapo ndo ninaposhangaa
 
Mmmh hili sijajua, kwani wao wana limit? Sisi Wakristo tunafanya kwa kiasi. Kama ulikuwa unakula sahani mzima basi, utakula nusu sahani. Labda na tendo la ndoa, kama ulikuwa unapiga 4, unapunguza 2
Kupunguza mpka kubanjuana?

Na pia hairuhusiwi kubanjuana mchana wa mwezi mtukufu hata kama mmezidiwa,inabidi mvumilie mpaka baada ya futari.
 
Waislamu kama hujaoa huruhusiwi kubanjuana siku zote sio ramadhani tu,. Ni zinaa..sasa watu wanafanya siku zote wanaacha kipindi cha mfungo tu coz wameambiwa ni mwezi mtukufu,hapo ndo ninaposhangaa
Samahani ndugu, ila tambua mwezi mtukufu ni kipindi ambacho watu hutubu na kujisafisha.
👉Iwe kiroho au kimwili
👉Mwezi huu una upekee Sana.
 
IMG_0813.png

Mimi nipo najibembeleza na wimbo wangu pendwa mpka nasizia
 
Back
Top Bottom