Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Hapana mimi ni Mkristo.Wewe huvunji chungu?
Hapana mimi ni Mkristo.Wewe huvunji chungu?
Hiyo haina dini wala kabila leo nikuvunjwa na kuvunjaHapana mimi ni Mkristo.
Kumbe leo ni siku ya kuvunja jungu kila mtu? Sikujua dah imenipita tena, nikajua wenye dini yao tu...Hiyo haina dini wala kabila leo nikuvunjwa na kuvunja
Umepitwa, nasikia huko Daslam leo lodge hazikamatiki, watu wanapishana milangoni kama alivyosema GENTAMYCINEKumbe leo ni siku ya kuvunja jungu kila mtu? Sikujua dah imenipita tena, nikajua wenye dini yao tu...
Sifanyagi michezo mibaya mimi. Mtoto wa Mungu miye, ndiyo maana yamenipita kumbe. Ya kufungiana room mmmh!!!Umepitwa, nasikia huko Daslam leo lodge hazikamatiki, watu wanapishana milangoni kama alivyosema GENTAMYCINE
Tupo pamoja ila kwa sasa naona hamna fleva halisi ya live band.Duh!hivi unazungumzia live band Gani mkuuLive band mimi ugonjwa wangu yani
Hongera mtoto mzuriSifanyagi michezo mibaya mimi. Mtoto wa Mungu miye, ndiyo maana yamenipita kumbe. Ya kufungiana room mmmh!!!
Duh!!!Nimesoma mara mbili mbili lakini mpaka sasa siamini macho yanguKumbe leo ni siku ya kuvunja jungu kila mtu? Sikujua dah imenipita tena, nikajua wenye dini yao tu...
Kipi huamini?Duh!!!Nimesoma mara mbili mbili lakini mpaka sasa siamini macho yangu
Ameokoka huyoDuh!!!Nimesoma mara mbili mbili lakini mpaka sasa siamini macho yangu
Kwamba hukujua ni siku ya kuvunja jungu??Kipi huamini?
Nacheza wimbo naopenda, pia nikinywa kidogo aibu ikitoka utapenda. Nacheza haswa...


unapenda wimbo gani kuchezaTaarifa njema Kwa sisi watumishi katika kristoAmeokoka huyo
Nilijua ila Mkuu hapo kasema ni ya wote. Mimi nilijua ya wenye dini yao, sababu wanaanza mfungo.Kwamba hukujua ni siku ya kuvunja jungu??
Nyingi tu, unajua ukinywa style ya kucheza nayo inakuja. Last time baada ya kumaloza live band. DJ akaweka rap old school, niliicheza 😂😂😂😂😂😂😂😂😂unapenda wimbo gani kucheza
Hivi mtu akiwa amefunga kwaresma kuna limit yoyote kwenye kubanjuana kama waislamu?Nilijua ila Mkuu hapo kasema ni ya wote. Mimi nilijua ya wenye dini yao, sababu wanaanza mfungo.