JamiiForums Usiku wa manane
Ukinenepa unakuwa kivutio kwa wawekezaji; ila kujua mwili unaoza, uamkapo asubuhi jaribu kusikilizia harufu ya mdomo.
Kumbe wewe hupigi mswaki eeh? Muda wa kwenda kulala hakikisha unaswaki vizuri, mabaki yote ya chakula unatoa na ulimi pia unausugua kwa mswaki.

Anza hiyo ndani ya wiki, asubuhi unaamka fresh. Yaani mimi naamka asubuhi vizuri na romance twapigana, hata kabla ya kuswaki...
 
Nitayainua macho yangu,
Nitazame milima, msaada wangu ehh MOLA utatoka wapi??
Msaada wangu katika bwana, mbingu na dunia yake.

Naomba usiuache mguu wangu usogezwe, hatasinzia hatalala yet mlinzi wangu.
👉 Atanilinda na mabaya yote, yeye MOLA WANGU.
MAISHA yangu nayakabidhi kwako ehh MOLA WANGU, usinitupee
👉Mimi ni kiumbe mmoja, siwezi Vita na maadui 1000, ila kwa baraka zako daima ni tayari nikiwangoja🙏🙏
 
Kumbe wewe hupigi mswaki eeh? Muda wa kwenda kulala hakikisha unaswaki vizuri, mabaki yote ya chakula unatoa na ulimi pia unausugua kwa mswaki.

Anza hiyo ndani ya wiki, asubuhi unaamka fresh. Yaani mimi naamka asubuhi vizuri na romance twapigana, hata kabla ya kuswaki...
Kinachosababisha harufu si mabaki ya chakula mdomoni, bali utumbo unaotoka mdomoni kwenda sehemu ya kuhifadhia chakula,pamoja na minyeng'enyo ya chakula inayofanyika mwilini.
 
Back
Top Bottom