Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,160
- 55,667
SawaMawe mwisho kupata saa kumi mzee
SawaMawe mwisho kupata saa kumi mzee
Sawa
Ramadan Kareem to everyone, hope wizi utapungua Sasa National Anthem, Bantu Lady, Dahan, Mzee wa kupambania, Johnnie Walker, Analyse, fyddell, Mr kenice
Nimeamia kwenye vita kidogo, urusi vs ukraineLete story boss
Nimeamia kwenye vita kidogo, urusi vs ukraine
Vita haina mzoefu, hasa kwenye hii miili ya nyama; wakikubahatisha risasi inapenya tuUko sikuwez ase ivi mfan wakenya wangekutana na jeshi ili la kwetu wange wakimbiza ata mara mmoja
Kwa hio wezi ni ndugu katika Imani?Ramadan Kareem to everyone, hope wizi utapungua Sasa
Vita haina mzoefu, hasa kwenye hii miili ya nyama; wakikubahatisha risasi inapenya tu
Umejuaje?Sema askar wa kenya wapole
Salama; tunakuachia lindo , tumepangiwa kazi nyingineSalamaleko mnaoanza kufunga. Tutajitahidi kuwasindikiza...
Tukiwa tunaila Easter nyinyi mmefunga...
Hatualiki mtu.
Humu ndani kwema?
Thubutu, niliamka kunywa maji miye.😂😂😂😂😂 hili lenu. Hamna wa kumbambikizia 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️Salama; tunakuachia lindo , tumepangiwa kazi nyingine
Kama umepangiwa kazi nyingine sawa; inabidi wote tulitelekeze lindo, haya mambo ya kuumwa na mbu hayana tija.Thubutu, niliamka kunywa maji miye.😂😂😂😂😂 hili lenu. Hamna wa kumbambikizia 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
Lala tu kwa kweli. Saa 01:13 hii ilitakiwa uwe unaota. Au nawewe unavunja jungu sijui!!!Kama umepangiwa kazi nyingine sawa; inabidi wote tulitelekeze lindo, haya mambo ya kuumwa na mbu hayana tija.
Tatizo ukilala sana mwili unakuwa unaozaLala tu kwa kweli. Saa 01:13 hii ilitakiwa uwe unaota. Au nawewe unavunja jungu sijui!!!