Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,770
- 54,845
Amina na ikawe hivyo jaman🙏🙏🙏🙏Zaburi 41:3 BHN
Mwenyezi-Mungu atamsaidia awapo mgonjwa, atamponya maradhi yake yote.
Jamaa anataka akuchafue jukwaani? 😅😅😅Hapna mkuu ..
Muongo kabisa an
🤣🤣🤣🙌Weka picha ya hio morning glory
Mpe pole sana Bibi yetu. Tunamuombea asijali. Augue pole 🙏🙏🙏.Maombi yenu ......bibi yangu aliyenilea ambaye kwangu ni mama yangu anaumwa sana..... Nampenda sana mwenzenu.....mama alipokuwa anapitia magumu bibi yangu hakutuacha.Maombi yenu please 🥺...... National Anthem usinisahaulie wimbo wa dini Leo....nipo sad kidogo my bro
nitapigwa ban, na pia kama leo nimefanyiwa tukiwa tumezima taa, huwezi ona vizuri.Weka picha ya hio morning glory
Kuna vile unasubiri wife kajiandaa vizuri kaishamaliza kujiandaa kwenda kazini, ile anakuaga hna muita.. unakiwasha huwa kina noga sana na utani kibao 😅😅Ndio , ukipata morning glory hata utapofika kazini wenzako watajua tu namna una furaha, amani na kupenda wenzako, cheko na tabasamu lisiloisha.
Mida mizuri ni saa 11 na nusu mpaka 12 asubuhi, na walau raundi moja ila romance iwe ya dakika 15 mpaka mtoke jasho jembamba , mnaoga pamoja yaani hiyo bond mtayojenga hatokaa mtu achepuke ;
My sister To yeye muamini Mungu katika upendo wake na faraja yake.Maombi yenu ......bibi yangu aliyenilea ambaye kwangu ni mama yangu anaumwa sana..... Nampenda sana mwenzenu.....mama alipokuwa anapitia magumu bibi yangu hakutuacha.Maombi yenu please 🥺...... National Anthem usinisahaulie wimbo wa dini Leo....nipo sad kidogo my bro
Barikiwa sana bro.AsanteMy sister To yeye muamini Mungu katika upendo wake na faraja yake.
View attachment 2550081
View attachment 2550077
View attachment 2550079
View attachment 2550080
View attachment 2550078
Dogo unataka nikuchane sio😁😎, I mean no malice to nobodyJuzi juzi nilikua nalia Mimi hapa watu wakaniona kichaa Intelligent businessman kesho yake akapost kifo cha Costa Titch
Kifooooo kwanini kifo 😭 come on kifo not again kifo wooooo kifo
Tena Poor Brain ana jicho Kama CCTV camera ya ikulu ya marekani.Kumbe Poor Brain ni Mzee wa chabo? 😅😅
Thank you much bro