JamiiForums Usiku wa manane
Hii kitu ni noma sana ni kama madawa ya kulevya ,mimi hii mida ni lazima nitasikia namna tu nistuke kama sio short call basi tu kitu kimeanguka nikisikie
Yes mkuu you train your mind kuwa hivo,una uwezo wa kuibadilisha pia,kuna kipindi niliamua kulala mapema around saa tano niwe nimelala dah huwezi amini ikawa ikifika saa tano nakua very sleepy mixer kusinzia


Sikuhizi ndo hivo mpaka night kali ndo usingizi unakuja
 
Back
Top Bottom