Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,120
- 111,789
🤣 nakubali nakuaminia hakuna kulalaTulia ujionee😅
🤣 nakubali nakuaminia hakuna kulalaTulia ujionee😅
Na ukila ukashiba vizuri, stress ndogo ndogo hazitakugusa kirahisiUmesahau kula sana sanaaa
Ni bora usilale ila ule vizuri 😃
Umenena mkuuuNa ukila ukashiba vizuri, stress ndogo ndogo hazitakugusa kirahisi
Tupeane tips,tujaze vizuri kwenye akili zetuKaribu brother. Ukikwama tena,,, nipo![]()
Kidogo tuu😂😂😂 ma gpt3 ai..Mdada usijue sana kiasi tu inatosha ,ukijua sana utaanza kiburi kwa mumeo
Mshana atakueleza vzr kama huamini
Amani hata kwa upanga itapatikana,ukiwa mkaidi uta shuruti tu
Huyo mume ni mjuaji hatarii 😂😂😂Mdada usijue sana kiasi tu inatosha ,ukijua sana utaanza kiburi kwa mumeo
Poleni sanaAcha Chelsea tukonde![]()
We are all in....0148
.who is inn![]()
Pressure ya kupanda kilima,City wako stressed sana sijui kuna shida gani, tangu aje halaand
Ni programmer kwani 🤔🤔🤔Huyo mume ni mjuaji hatarii 😂😂😂
Mie au? Unataka codes😂😂😂Ni programmer kwani 🤔🤔🤔
Upande wangu.. Anyday naweza kuwa mwenye furaha..Monday
Tuesday
Wednesday
Thursday
Friday
Saturday
Sunday
Kati ya hizo siku ni ipi unaikubali sana katika kukufanya mwenye furaha
Mchungaji nimewasalimu lindo,ila napokea sadaka leo shida hamtoe hamjui ni dhambi,mnamuibia Mungu fungu la kumiSalama kabisaa mchungaj![]()


ni dhambi sijapentaBantu Lady njoo uone huyu😂😂😂Mchungaji nimewasalimu lindo,ila napokea sadaka leo shida hamtoe hamjui ni dhambi,mnamuibia Mungu fungu la kumini dhambi sijapenta
Dah nimesahauje hiiUmesahau kula sana sanaaa
Ni bora usilale ila ule vizuri![]()

