JamiiForums Usiku wa manane
Achana nazo, kumbuka unaelekea sehemu sahihi so vumilia kuacha pombee
Ufanisi na utendaji wa kazi unapungua Kwa sababu ya kukosa usingizi usiku , wakati wa kazi usingizi kama wote. Pia sio mlevi ni mnywaji wa konyagi Moja kubwa na kwenda kulala mkuu

Toka Nimeacha leo ni siku ya tisa ila usingizi umekuwa kama movie za kusadikika.
 
Back
Top Bottom