JamiiForums Usiku wa manane

JamiiForums Usiku wa manane

😂😂 acha kabisa…..madeni na usingizi havipatani
😅😅😅😅 Acha mkuu, madeni ni noma. Kuna kipindi fulani baba mwenye nyumba wangu alipigiwa kelele ya mwizi, maana alikutwa anachungulia dirishani kwangu, raia wakahisi anataka kuchana nyavu. Kumbe Mzee alikuwa anasikilizia kama nipo au la? Maana ananidai alaf nilikuwa nampiga chenga sana 😅😅😅
 
Back
Top Bottom