JamiiForums Usiku wa manane
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ acha kabisaโ€ฆ..madeni na usingizi havipatani
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… Acha mkuu, madeni ni noma. Kuna kipindi fulani baba mwenye nyumba wangu alipigiwa kelele ya mwizi, maana alikutwa anachungulia dirishani kwangu, raia wakahisi anataka kuchana nyavu. Kumbe Mzee alikuwa anasikilizia kama nipo au la? Maana ananidai alaf nilikuwa nampiga chenga sana ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom