JamiiForums Usiku wa manane
😅😅😅😅 Acha mkuu, madeni ni noma. Kuna kipindi fulani baba mwenye nyumba wangu alipigiwa kelele ya mwizi, maana alikutwa anachungulia dirishani kwangu, raia wakahisi anataka kuchana nyavu. Kumbe Mzee alikuwa anasikilizia kama nipo au la? Maana ananidai alaf nilikuwa nampiga chenga sana 😅😅😅
😂😂😂😂😂😂 mi ndo maana sitakagi nyumba za baba/mama wenye nyumba wenye njaa..maana huwa wanahesabu tarehe hatari yani hawavushi 😂😂😂…ingetakiwa apigwe mtama kidogo
 
😂😂😂😂😂😂 mi ndo maana sitakagi nyumba za baba/mama wenye nyumba wenye njaa..maana huwa wanahesabu tarehe hatari yani hawavushi 😂😂😂…ingetakiwa apigwe mtama kidogo
Mzee kila nikimwambia hela sina, avumilie. Yeye anakazania kuniambia jinsi alivyopata tabu kuijenga nyumba yake 😅😅😅
 
Back
Top Bottom