Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 17,641
- 47,664
Jamaa naskia kwenye mbio, Yuko vizuri sana, Hussein Bolt akasome 😅😅Yap ndo zile pigo za panga mkononi, roho begani. Ukipata fresh ukidakwa ndo imeisha iyoo
Jamaa naskia kwenye mbio, Yuko vizuri sana, Hussein Bolt akasome 😅😅Yap ndo zile pigo za panga mkononi, roho begani. Ukipata fresh ukidakwa ndo imeisha iyoo
Nime mtrain, yuko vizuri maana anakimbia 280 speed kphJamaa naskia kwenye mbio, Yuko vizuri sana, Hussein Bolt akasome 😅😅
Roho begani dahYap ndo zile pigo za panga mkononi, roho begani. Ukipata fresh ukidakwa ndo imeisha iyoo

Leo nimewahiMbona umechelewa hivyoo, wenzio washahesabu namba
Wenzio wameshakula, we ukacheze unapokeshaga
Ndo maisha yetu mkuu, Kama team narcos au godfatherRoho begani dah![]()
Umejuaje kama usiku wana wangaAcheni kuwanga usiku
Muda wote mpela mpelaNdo maisha yetu mkuu, Kama team narcos au godfather
Wapemba wanajuana kwa vilemba mkuuAcheni kuwanga usiku
Kaicheki series moja inaitwa zero zero zero ni shida mkuuMuda wote mpela mpela
Nitaitafuta napenda sana content za violenceKaicheki series moja inaitwa zero zero zero ni shida mkuu
Siku yako haijaisha kabisaaaa bila kuniona inte😂😂😂Let's keep the race on guys boss Bantu Lady, mcharukoo Dahan mzee wa mizagamuano Mzee wa kupambania, kibaka anayechipukia National Anthem, don Mafian cartel, crazy lover @kalifonia, akili kumkichwa Poor Brain
Madam naona vijana a.k.a trplets wapo vizuriSiku yako haijaisha kabisaaaa bila kuniona inte😂😂😂
Nipo zangu kula bata leo intel wangu😂😂😂vifaranga nimeachia babamtu huko nayy apambane😅😅...Vijana mmepotelea wapi Bantu Lady, don Mwachiluwi, Poor Brain, balozi wa mizagamuano jf Mzee wa kupambania, mwizi anayechipukia National Anthem na mcharuko Dahan
Nipo nakunywa azam juice, nimeokota jalala la jirani.Vifaranga vya watu vimegoma leo jamani... 😂😂😂
Nipo zangu kula bata leo intel wangu😂😂😂vifaranga nimeachia babamtu huko nayy apambane😅😅...
Yaan hapa acha tuu.. Nahisi nitaandika utumboo.. Acha niwe kwenye silent invisibke mode kama Half american 😂😂😂Nipo nakunywa azam juice, nimeokota jalala la jirani.
We ropoka tu, coz nimebaki mwenyewe hapa so let habari kenge weweYaan hapa acha tuu.. Nahisi nitaandika utumboo.. Acha niwe kwenye silent invisibke mode kama Half american 😂😂😂