Hatukeshi, sisi tunachoma Mahindi broHivi humu ndio Huwa mnakesha kama popo .Niko shamba usingizi hakuna kabisa
I don't like kind of students such as you, how many times should I tell you that focus kiddo01:15 mwanamke ninayempenda amelala My Bantu Lady nakupenda Sana
Mbona kumepoa sana mkuu kama mtanzania wa awamu ya sita aliyeomba lift kwenye gari la polisiHatukeshi, sisi tunachoma Mahindi bro
I wonder this fellows are 🤔🤔 Bantu Lady, Poor Brain, National Anthem, Dahan, Mwachiluwi, and Mzee wa kupambaniaMbona kumepoa sana mkuu kama mtanzania wa awamu ya sita aliyeomba lift kwenye gari la polisi
Wote hao wako chakali muda huu, hawajiwezi 😅😅😅I wonder this fellows are 🤔🤔 Bantu Lady, Poor Brain, National Anthem, Dahan, Mwachiluwi, and Mzee wa kupambania
Mmhhh!!majina ya kazi haya mida hii wanakuwepo humuI wonder this fellows are 🤔🤔 Bantu Lady, Poor Brain, National Anthem, Dahan, Mwachiluwi, and Mzee wa kupambania
Wamo mkuu, sema naona leo wameamua kulay low profile 😎😎Mmhhh!!majina ya kazi haya mida hii wanakuwepo humu
Huyo Bantu Lady kashindwa hata kuingia ndani, kalala mlangoni. Mzee wa kupambania ni mkabaji, anaishi kwa nguvu za macho na mikono, mtaji mbio. Mida hii utamkuta daraja la mfugale,anategea walevi 😅Wamo mkuu, sema naona leo wameamua kulay low profile 😎😎
Miaka yetu ya ujana huu Uzi ulikuwa na mlinzi pia kulikuwa na utaratibu wa kukabidhiana lindo.kwa sasa sijui kama huu utaratibu upoWamo mkuu, sema naona leo wameamua kulay low profile 😎😎
Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi.
Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua KUFANYA IBADA Tuuuu!
Angalia usizimee mkuu
Yap ndo zile pigo za panga mkononi, roho begani. Ukipata fresh ukidakwa ndo imeisha iyooHuyo Bantu Lady kashindwa hata kuingia ndani, kalala mlangoni. Mzee wa kupambania ni mkabaji, anaishi kwa nguvu za macho na mikono, mtaji mbio. Mida hii utamkuta daraja la mfugale,anategea walevi 😅