JamiiForums Usiku wa manane
Mahaba by Ally Kiba...
Mwenzako mi nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, Sasa nimefufuka

Natamani kuwa single ila na ubuyu unanikaba roho
Mabinti wenye vifundo hao ndo wananitoa rohi
Asili ya Jambo lile Ni Kama chakula, lazima nile
Mi mbovu wa Jambo lile na Nina ufundi wa kutosha Bantu Lady na Dahan
 
Yapo ukiyababatiza bana. Nzuri za kwako Mr.
Niko powa My lady ..

Hayajapita masaa nilikuwa nikizungumzia mahaba na vijana wenzangu ..

It was funny though BSE Wenyewe wanasema last time wameexperience mahaba hawakumbuki .. it's just

Pesa mbele .. Pant down .. TWA twa TWA en it's over ..
 
Mwenzako mi nilikufa, nikazikwa, nikaoza
Mapenzi yalinitesa, Sasa nimefufuka

Natamani kuwa single ila na ubuyu unanikaba roho
Mabinti wenye vifundo hao ndo wananitoa rohi
Asili ya Jambo lile Ni Kama chakula, lazima nile
Mi mbovu wa Jambo lile na Nina ufundi wa kutosha Bantu Lady na Dahan
Vifundo ndiyo???????
 
Back
Top Bottom