JamiiForums Usiku wa manane
Just mwisho WA mwaka Jana nipo mtaa hivi na wanangu kapita mamdogo mmoja hivi , mrefu wastani. Maji ya kunde /weusi WA kung'aa , jicho analo .. kiuno pia kipo .

Kwa ufupi anazo qualities zote za kuwafanya wanaume mashababi Wamtizame .. sikumtilia maanani kivileee but macho yake yalikuwa kwangu . Macho yenye kuzungumza , next dei mvua inanyesha nakimbia kurudi Nyumbani nakutana nae

She looked at me , akatabasamu kisha akankonyeza , damn she's cute .. akaharibu siku kabisa .. nilifreeze ..
Na comment wap hapa?
 
Just mwisho WA mwaka Jana nipo mtaa hivi na wanangu kapita mamdogo mmoja hivi , mrefu wastani. Maji ya kunde /weusi WA kung'aa , jicho analo .. kiuno pia kipo .

Kwa ufupi anazo qualities zote za kuwafanya wanaume mashababi Wamtizame .. sikumtilia maanani kivileee but macho yake yalikuwa kwangu . Macho yenye kuzungumza , next dei mvua inanyesha nakimbia kurudi Nyumbani nakutana nae

She looked at me , akatabasamu kisha akankonyeza , damn she's cute .. akaharibu siku kabisa .. nilifreeze ..
Sikuweza tembea nilisimama kwenye mvua nikimtizama wakati anaishia , kama vile alicast spell on me , kufika Nyumbani , nkasema hapana sikai nikaoga chap nikabadili mavazi alafu huyoo Kwenda kupata kahawa , njia nayopita huyu hapa kuniona kasimama katikati .. siwez hata kuongea Taratibu akasema za Saa hizi , Naweza pata number yako , I gave her nikamsindikiza tena kwa macho .. siku zikasonga mahaba mengiiii mengiii naoneshwa Mie .. Siku ya tukio ikafika Kwanza nlipewa kimoko , utamu ukabaki .. na ukweli kujua anajua , siku zikasonga nimefall nimefall Ila baada ya kuona kaniona many times drama zikaanza , Mtoto WA watu Mimi nafosi penzi , kuja kupata details shes married , na anapenda light skinned men , ako namultiple relationships .. alafu at last Leo kaniambia she just wanted my Mjulus and nothing more
 
Sikuweza tembea nilisimama kwenye mvua nikimtizama wakati anaishia , kama vile alicast spell on me , kufika Nyumbani , nkasema hapana sikai nikaoga chap nikabadili mavazi alafu huyoo Kwenda kupata kahawa , njia nayopita huyu hapa kuniona kasimama katikati .. siwez hata kuongea Taratibu akasema za Saa hizi , Naweza pata number yako , I gave her nikamsindikiza tena kwa macho .. siku zikasonga mahaba mengiiii mengiii naoneshwa Mie .. Siku ya tukio ikafika Kwanza nlipewa kimoko , utamu ukabaki .. na ukweli kujua anajua , siku zikasonga nimefall nimefall Ila baada ya kuona kaniona many times drama zikaanza , Mtoto WA watu Mimi nafosi penzi , kuja kupata details shes married , na anapenda light skinned men , ako namultiple relationships .. alafu at last Leo kaniambia she just wanted my Mjulus and nothing more
Ooooh pole sana dah kweli huyu alikutumia, angesema tu kuwa ameolewa ili wewe ujue cha kufanya. Natumaini usingefall kiasi hiko... pole sana so uko single? 😂😂😂😂😂😂
 
Sikuweza tembea nilisimama kwenye mvua nikimtizama wakati anaishia , kama vile alicast spell on me , kufika Nyumbani , nkasema hapana sikai nikaoga chap nikabadili mavazi alafu huyoo Kwenda kupata kahawa , njia nayopita huyu hapa kuniona kasimama katikati .. siwez hata kuongea Taratibu akasema za Saa hizi , Naweza pata number yako , I gave her nikamsindikiza tena kwa macho .. siku zikasonga mahaba mengiiii mengiii naoneshwa Mie .. Siku ya tukio ikafika Kwanza nlipewa kimoko , utamu ukabaki .. na ukweli kujua anajua , siku zikasonga nimefall nimefall Ila baada ya kuona kaniona many times drama zikaanza , Mtoto WA watu Mimi nafosi penzi , kuja kupata details shes married , na anapenda light skinned men , ako namultiple relationships .. alafu at last Leo kaniambia she just wanted my Mjulus and nothing more
Kiukweli nampenda and am too honest , Sina Namna . Siyo kwa sababu ya shape yake ya kibantu wala nini her eyes her eyes her eyes .. The way anafeel my thing inside Her, the way anarespond to my ..damn damn ..

Hapa nimetoka kuangalia movie after we fell duh ..

Siku hizi yapo mahaba Ila ya kuigiza .
 
Back
Top Bottom