Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 27,494
- 55,140
Wapo ukibahatika, ila ndiyo kuwapata sasa. Na bahati mbaya ilivyo mtu huombi hela unapata sakasaka tu. Ndiyo maisha...Niko powa My lady ..
Hayajapita masaa nilikuwa nikizungumzia mahaba na vijana wenzangu ..
It was funny though BSE Wenyewe wanasema last time wameexperience mahaba hawakumbuki .. it's just
Pesa mbele .. Pant down .. TWA twa TWA en it's over ..
Tuendelee kuminya minya nyanya kisha tuchukue biringanya tuu ase ☺️☺️😂Wapo ukibahatika, ila ndiyo kuwapata sasa. Na bahati mbaya ilivyo mtu huombi hela unapata sakasaka tu. Ndiyo maisha...
Umeonaee mulemule hakuna namnaTuendelee kuminya minya nyanya kisha tuchukue biringanya tuu ase ☺️☺️😂
Karibu Mkuu, huenda vijana hapa wakajifunza kitu. TunasubiriNaruhusiwa kukonfesi kuhusu mahaba .. huenda nkapona ...
Guys
We mwanamke lakini, haya mizigoooVifundo ndiyo???????
Kama wangu? 😂😂😂😂😂 akili za usiku hiziWe mwanamke lakini, haya mizigooo
La kujifunza my sidhani my lady .. just tuu niwe huru ,Karibu Mkuu, huenda vijana hapa wakajifunza kitu. Tunasubiri
I see the Don is back, mwachiiii2:20
La kujifunza my sidhani my lady .. just tuu niwe huru ,
Kupitia Hili nimegundua Kuwa siyo wanaume tuu wanawatumia wanawake pia wanawake wanawatumia wanaume .. Ile mbaya ..
Mtu kazi. Mtu lindo. Mtu shift2:20
Madam Bantu Lady mi siijui🙊🙊, afu sema hii dunia Kuna pisiii aiseee🤗🤗🤗Kama wangu? 😂😂😂😂😂 akili za usiku hizi
Asikwambie mtu Beer tamu...
Usibanebane sana utazikwa nalo....
Wee siyo kweli beer tamu
Hivi utamu wa bia umejificha wapAsikwambie mtu Beer tamu...
Usibanebane sana utazikwa nalo....
Wee siyo kweli beer tamu
Mkuuu kibaya sinywi pombe, sivuti sigara Wala sipendi kilevi chochote. Starehe zangu ni movie,chakula, game na vitabu Bantu LadyAsikwambie mtu Beer tamu...
Usibanebane sana utazikwa nalo....
Wee siyo kweli beer tamu
Just mwisho WA mwaka Jana nipo mtaa hivi na wanangu kapita mamdogo mmoja hivi , mrefu wastani. Maji ya kunde /weusi WA kung'aa , jicho analo .. kiuno pia kipo .La kujifunza my sidhani my lady .. just tuu niwe huru ,
Kupitia Hili nimegundua Kuwa siyo wanaume tuu wanawatumia wanawake pia wanawake wanawatumia wanaume .. Ile mbaya ..