Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,691
Bora ulikuwa kama mimi. Ila hao wanaojua hao haoooo Mbingu watakuwa wanaichungulia.Akiiiiii😂😂🤐😂, simjuiiii
Bora ulikuwa kama mimi. Ila hao wanaojua hao haoooo Mbingu watakuwa wanaichungulia.Akiiiiii😂😂🤐😂, simjuiiii
Kusema ukweli, nikiwa na furaha nachezaga my own stylesHumu kwanza mnajua kucheza muziki vizuri?
Duuh sawa. Hapo unafanya niendelee kukuuliza mswali zaidiSio Africa bali dunia nzima!!, Umeshasoma ripoti ya shilika la afya la afrika ??. Threat wazokumbana nazo kuhusu na magonjwa haya😪😪
Bora hata hivyo. Muziki kucheza ni furaha, mazoezi na ni raha pia.Kusema ukweli, nikiwa na furaha nachezaga my own styles
😂😂😂😂😂 Kumbe unamjua ahahahahahahahahahahKama unamjua huyo mtu, hufiki mbinguni. Bora mimi nimemjua baada ya mtu, siku kumwambia Santos atoe hiyo Avatar, nikagoogle nikajua.
Ukiniona nacheza unaeza cheka mpaka ukavunjika mbavu. Naeza nikawa naenda mbele na kurusha mikono juuu😂😂Bora hata hivyo. Muziki kucheza ni furaha, mazoezi na ni raha pia.
Hiyo situmii,nishazoea ulanzi ,wa kijijini Mimi ,hizo za kwenu wa mjini hahahKuna hii 🍺 unatumia?
Bahati nzuri sijawahi kuwa na mahusiano, so sina historia ya mtu wa hivyoDear Ex...
Yanga,Simba nayo timu kwani?wasindikizaji tuYanga na simba nani Bingwa?
Yangaaaaaaaaaaaaaaaaaa
💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚💛
Sikuwa namjua kabla. Mpk humu walivyoanza kumzungumzia. Ni hatari na nusu. Ila imemkaa utasema yeye 😂😂😂😂😂 Hafai kumwachia lindo, mimba zitapigwa hapa na pale...😂😂😂😂😂 Kumbe unamjua ahahahahahahahahahah
Daah nimecheka sana
Sasa huyu Santos06 tunaweza kumpa zamu ya lindo kweli
Uwoni avatar yake ina sadifu
Wahenga tunawezaa kucheza bakurutu tuHumu kwanza mnajua kucheza muziki vizuri?
Mkuuu, haya magonjwa ni ya kurithi chief. Unajua mtu anaeza zuia mafua ila sio ugonjwa wa uti wa mgongo??Duuh sawa. Hapo unafanya niendelee kukuuliza mswali zaidi
Hivi magonjwa ya genetics yanakuaje yanasumbua wakati hayaambukizwi ...?
😂😂😂😂😂😂😂😂 kama nakuona, nimeshakujengea picha ulivyo na unavyocheza ☺☺☺☺Ukiniona nacheza unaeza cheka mpaka ukavunjika mbavu. Naeza nikawa naenda mbele na kurusha mikono juuu😂😂
Ndo mana nimepambania kwa hali na mali jamaa asi sign hapa alaaahSikuwa namjua kabla. Mpk humu walivyoanza kumzungumzia. Ni hatari na nusu. Ila imemkaa utasema yeye 😂😂😂😂😂 Hafai kumwachia lindo, mimba zitapigwa hapa na pale...