JamiiForums Usiku wa manane
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Alafu anataka ukubali zote๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…alafu mwisho wa siku anakuchora
alaf anakuona bitch huna focus.. ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚Unyama ni mwingiiii.... Wanaume bhana๐Ÿ‘Š
Yaani ujinga mtupu, sasa nilikuwa nafuta pm za miaka hiyoo 8 iliyopita. Kuna mmoja alikuja nikamtolea nje. Mwaka huu kaja na ID nyingine sikujua ila nikamtolea nje. Majuzi naambiwa zote zake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ anaona aibu balaa hata alike tena aibu yake.
 
Yaani ujinga mtupu, sasa nilikuwa nafuta pm za miaka hiyoo 8 iliyopita. Kuna mmoja alikuja nikamtolea nje. Mwaka huu kaja na ID nyingine sikujua ila nikamtolea nje. Majuzi naambiwa zote zake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ anaona aibu balaa hata alike tena aibu yake.
Uliikataa dhahabu madam o Bantu Lady,it wozi mi ua bodyguard
 
Hahaha namimi nilikuwa nakuzoom tu sana na hiyo avatar yako unavyobadilisha kila muda mda mwingine unakesha kama jana nakuangalia tu

Hahaha dahany bana ๐Ÿฆ ๐Ÿฆ 
Avatar yangu pia nipangiwe cha kufanya? Hell no๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Umbea tuuuu๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Halafu ww ni ndugu yangu kabisa. Kna siku nilikiuloza ka swali kwenye uzi wa umughaka ukajibu ila sikuendelea. Nikaja pm nikwambie nikakuta sole. Sikutaka kukwambia maana ungehisi ni mipango ya . Leo ndio nimejua sababu ya solex
Yeah nakumbuka uliniuliza, kwenye ule uzi. Tukawa wote tunatokea sehwmu moja. Yes nafunga sababu ya baadhi ya watu, si wastaarabu wao ni hayo tu hawana jipya la maana. Pole si unaona hadi ndugu tumewafungia vioo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Yeah nakumbuka uliniuliza, kwenye ule uzi. Tukawa wote tunatokea sehwmu moja. Yes nafunga sababu ya baadhi ya watu, si wastaarabu wao ni hayo tu hawana jipya la maana. Pole si unaona hadi ndugu tumewafungia vioo ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Incasee ukizaliwa tena, pulizzi nipigie simu o Bantu Lady
 
Back
Top Bottom