leadermoe
JF-Expert Member
- Feb 15, 2017
- 1,392
- 4,681
Binafsi huwa naelewa sana nikikuta binti kapiga solex.Yeah nakumbuka uliniuliza, kwenye ule uzi. Tukawa wote tunatokea sehwmu moja. Yes nafunga sababu ya baadhi ya watu, si wastaarabu wao ni hayo tu hawana jipya la maana. Pole si unaona hadi ndugu tumewafungia vioo![]()
Na huwa simtafuti tena kwa njia hiyo labda yeye aanze maana najua ni kwa usalama wake.








