JamiiForums Usiku wa manane
Kuna pastor p kuna KIDUME20 na tombile zote ni account moja ila kaxi yangu ni kubadili majina tu

Mtu akinizingua namfuata inbox mamshushia matusi naepa nabadilisha jina na lock profile easy game 😵😵
Nikawa najiuliza kidume yu wapii😂😂😂ila nikiona comment za pastor p nasahau kutag kumbe ni walewale😂😂😂waquba bhana
 
Nikawa najiuliza kidume yu wapii😂😂😂ila nikiona comment za pastor p nasahau kutag kumbe ni walewale😂😂😂waquba bhana
Sasa bora yeye anazifanyia hivyo, kuwafata wabaya wake. Wengine hizo ID anakutongoza na hii, anakuja na nyingine yaani hata km anazo 5 anakutongozea zote. Bora nilifungaga pm kabisa...
 
Madam bora ninavyo ingia humu kucheka, but GOD knows what happening to me
Iko siku yako, amini na muamini Mungu. Sali kwa Imani yako na uwe na Imani. Mwenyezi Mungu, siyo kiziwi wala kipofu. Yote anayaona na kuyasikia, ipo siku isiyo na jina yote yatabadilika. Usikate tamaa, shida zikizidi faraja i njiani.
 
Iko siku yako, amini na muamini Mungu. Sali kwa Imani yako na uwe na Imani. Mwenyezi Mungu, siyo kiziwi wala kipofu. Yote anayaona na kuyasikia, ipo siku isiyo na jina yote yatabadilika. Usikate tamaa, shida zikizidi faraja i njiani.
Madam Bantu Lady shida sio pesa Wala kazi, shida ni kufocus tu zat all. Nikikuambia iam not allowed to have a girlfriend unaeza usiamini
 
Sasa bora yeye anazifanyia hivyo, kuwafata wabaya wake. Wengine hizo ID anakutongoza na hii, anakuja na nyingine yaani hata km anazo 5 anakutongozea zote. Bora nilifungaga pm kabisa...
😂😂😂😂Alafu anataka ukubali zote😅😅😅alafu mwisho wa siku anakuchora
alaf anakuona bitch huna focus.. 😂😂😂😂Unyama ni mwingiiii.... Wanaume bhana👊
 
Back
Top Bottom