Ulale sasa bantu03:00
Ulale sasa bantu03:00
Yaani hawa ndugu zangu, wananifanya nisilale kabisa. Kila nikitaka kutoka notification hiyooo 😄😄😄😄😄Ulale sasa bantu
Kumbe umeona Dahan 😂😂😂😂😂 kama haitaki hivi 🙊🙊🙊Ndugu yake Bantu Lady mbona kama hujafurahishwa na hii taarifaa😂😂😂😂
Pole sana chiefRIp to one of my lovely dudes, I salute and appreciate your time on earth mzee💪💪🖐️
Basi endelea kuwepo hapa tuYaani hawa ndugu zangu, wananifanya nisilale kbisa. Kila nikitaka kutoka notification hiyooo 😄😄😄😄😄
Nimeshangaa ulivyosema hapa hakuna wachumba

Nalala sasa, leo nimekesha humu. G9t best.Basi endelea kuwepo hapa tu
Hata hivyo kumekucha tayari, malizia lindo
Tushapoa kwa Sasa mkuu, ila nimemkubuka ghafla so nikaona acha ajue namkubali sanaPole sana chief
Nikasema tena kuna wastaarabu wapo pia. Hao wa ID nyingi na zote zinatongoza mtu mmoja, ndiyo hao wabaya. Ila mtu ana ID yake moja na unaona huyu zimetimia kichwani. 💃💃💃💃💃💃Nimeshangaa ulivyosema hapa hakuna wachumba
Ni wa huni tu. Ghafla unaahidi kuleta ushuhuda.![]()
Nikasema tena kuna wastaarabu wapo pia. Hao wa ID nyingi na zote zinatongoza mtu mmoja, ndiyo hao wabaya. Ila mtu ana ID yake moja na unaona huyu zimetimia kichwani.![]()











Sasa niambie vizuri ndugu yangu. Ukute ni ndugu wa damu kabisa sisi.
03;09 hizi nyimbo za Sasa hivi utasikia -nakupenda na huyo mke wako



Ipo day utajua but sio hapa janviniSasa niambie vizuri ndugu yangu. Ukute ni ndugu wa damu kabisa sisi.
Yaani mpaka hapo nishajua ni ndugu kabisa. Maana ni sehemu moja, undugu wa damu ni mkubwa sana.Ipo day utajua but sio hapa janvini
Usiku mwema.Yaani mpaka hapo nishajua ni ndugu kabisa. Maana ni sehemu moja, undugu wa damu ni mkubwa sana.
Jirani yangu wa kike amekesha anaimba hii nyimbo, kisa nimepata mgeni leoo