JamiiForums Usiku wa manane
me ngja nikae hivhiv naona siyawezi hayo ya kupigana ban .
Ila Kuna siku ntauwasha.

Kuna kipindi nataka andika matusi alaf naacha tu.

Haka kaujinga inabidi nikaache Kwa ni Ban kitu gani
Yaani ukiona unapania kabisa kuandika matusi sehemu kama hii ya kupata tu burudani, ukiboreka una switch off data. Jiulize mara 2 kuhusu afya ya akili yako
 
Yaani wewe nenda kajisomee tu. Uzi wenyewe umepigwa pin kucomment. Kwani huwa unatembeleaga wapi shoga, mchana na jioni? Maana nakuona humu tu usiku wa manane. Hatupishani njiani humo hata siku moja
Mchana na jioni maranyingi busy na watoto madam.. Kuhandle triplets ilivo kazi😢😢usiku ndo hivi nakuwa free mode wakiwa wamepumzikaa..
 
😂😂 me ngja nikae hivhiv naona siyawezi hayo ya kupigana ban .
Ila Kuna siku ntauwasha.

Kuna kipindi nataka andika matusi alaf naacha tu.

Haka kaujinga inabidi nikaache Kwa ni Ban kitu gani 😁😁
Izo hasira wenzio zinakujaga automatically.. Sio wewe izo zako unaplan kabisaa😂😂😂
 
Nashindwa elewa yaani🤣🤣
Mwen
Yaani ukiona unapania kabisa kuandika matusi sehemu kama hii ya kupata tu burudani, ukiboreka una switch off data. Jiulize mara 2 kuhusu afya ya akili y
😂😂😂😂😂 Eti au ndo wale

Wa i dont want peace i want trouble always hahaha

Nigeria bana
 
Back
Top Bottom