JamiiForums Usiku wa manane
Taja herufi ya kwanza tu nitajua 😄😄😄😄
Le tombile 😂😂😂😂
Wakina yinyang na paw na moderator nimewakomesha kweli kweli tena nikawa pin kabisa wafungue na account yangu ile ya ye34nbe ban inatolewa eti 26/4 karume day just imagine

Any way ngoja nione ila ule uzi wasingefunga ingekuwa kisa kingine saizi
 
Le tombile 😂😂😂😂
Wakina yinyang na paw na moderator nimewakomesha kweli kweli tena nikawa pin kabisa wafungue na account yangu ile ya ye34nbe ban inatolewa eti 26/4 karume day just imagine

Any way ngoja nione ila ule uzi wasingefunga ingekuwa kisa kingine saizi
Nishakumanya 😅😅😅😅😅 hatariii pole sana. Ila kawaida bora hata una ujanja huu. Miye nitakaa nisubirie kutoka tu kifungoni. Likitokea la kutokea
 
Le tombile 😂😂😂😂
Wakina yinyang na paw na moderator nimewakomesha kweli kweli tena nikawa pin kabisa wafungue na account yangu ile ya ye34nbe ban inatolewa eti 26/4 karume day just imagine

Any way ngoja nione ila ule uzi wasingefunga ingekuwa kisa kingine saizi
Hv mpka ugomvi na Moderator Inakuaje mkuu nielekeze namm niwawasgie moto one Day.
 
Hv mpka ugomvi na Moderator Inakuaje mkuu nielekeze namm niwawasgie moto one Day.
Mimi niliwaunga wote pm wa 4 nikawaambia wanifungulie account yangu iliyopigwa ban since January ya ye34nbe ila wakawa wananijibu kimkatomkato

Mara ile thread fulani iliyohit jioni hii mashogs wakaingilia nikawawashia moto ulao fala likam tag mods ndo wakanipa ban ila ya tombile insfunguliwa 3/3
 
Back
Top Bottom